Mrema yupo habari maelezo

Dr Mrema, vipi! Kumbe maandamano ya CDM ni ya kuindoa serikali madarakani, na ninyi mloko serikalini mnaona hawa CDM hawajajiandaa kuweka viongozi watakaoiendesha hiyo serikali.
Duh! Chonde chonde serikali itimize wajibu wake wa kuwatumikia wananchi na siyo mafisadi, Dr unaonaje hilo! Fikisha hizo salam za watz
 
Mwalimu wangu wa philosophy aliniambia ukiona mtu anaacha kujadili hoja anaanza kumjadili mtoa hoja basi hana hoja..kwa hii hali badala ya kujibu hoja ya Mrema naona wapambanaji wanashambulia afya yake, hii ni kuonesha umbumbu na ububusa

Kumbe na wewe umeingia choo cha kike badala yakujadili hoja iliyoko mbele yako unawajadili wapambanaji. Pamoja nakujadili hoja badala ya mtoa hoja inabidi ujilizishe kwanza na mtoa hoja na hoja yenyewe kama inastahiri kujadiliwa. Hapa unataka ijadiliwe hoja ya Mrema yupi wa CCM NCCR MAGEUZI TLP cum CCM. Au Mrema mwenyekiti aliyesimamisha mgombea urais lakini akaishia kumpigia kampeni Kikwete! Mjepu mwalimu wako akusahau kukwambia kuwa ukishaingia choo kike sharti uchuchumae.
 
Mh. Augustine Lyatonga Mrema umechoka kifra na kisera pia nimegundua hata mawazo yako yameganda maana hujui shida za watz na ugumu wa maisha yao wewe sio KIONGOZI. ila ni KIBARAKA CHA WANAOITWA VIONGOZI.
 
'Mtawatambua kwa matendo yao'
Watatumwa wengi zaidi.
1)Jk.
2)Wasira.
3)Sofia.
4)Mrema.
5)......
 
Dr Mrema, vipi! Kumbe maandamano ya CDM ni ya kuindoa serikali madarakani, na ninyi mloko serikalini mnaona hawa CDM hawajajiandaa kuweka viongozi watakaoiendesha hiyo serikali.
Duh! Chonde chonde serikali itimize wajibu wake wa kuwatumikia wananchi na siyo mafisadi, Dr unaonaje hilo! Fikisha hizo salam za watz
Wale waliokuwa wanailaumu chadema kutoshirikiana na wapinzani wengine wameshajua kwanini? Wapinzani wana wivu wanapoona wapinzani wenzao wanafanikiwa. CDM imekuwa kama chama tawala na vyama vingine ndivyo vya upinzani.Kama kuna mtu anamsikiliza mrema hadi leo basi wanafanana kiakili
 
aende kwanza loliondo akanywe dawa ya kisukar. Akpona 2tamckilza. Mm huwa nahic akil zmechakachuliwa na kisukar chake! Hana mvuto tn!

Hahahah,hii kisukari yake imeanza kula brain..aende digodigo aisee; 500 tu itamponya!
 
Hawa jamaa wameona Mrema amewekewa sred ya kumsifu hapa JF wakadhani wakimtuma watu watamsikia.
 
Kumbe na wewe umeingia choo cha kike badala yakujadili hoja iliyoko mbele yako unawajadili wapambanaji. Pamoja nakujadili hoja badala ya mtoa hoja inabidi ujilizishe kwanza na mtoa hoja na hoja yenyewe kama inastahiri kujadiliwa. Hapa unataka ijadiliwe hoja ya Mrema yupi wa CCM NCCR MAGEUZI TLP cum CCM. Au Mrema mwenyekiti aliyesimamisha mgombea urais lakini akaishia kumpigia kampeni Kikwete! Mjepu mwalimu wako akusahau kukwambia kuwa ukishaingia choo kike sharti uchuchumae.

I lov JF
the only stress-free arena..... wuhuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!
 
Watu wengine sijui IQ zao zikoje. Hakuna mahali popote iwe kwa maneno au vitendo CDM wameonesha kwamba lengo lao ni kuiangusha serikali tena ikitokea wakifanya hivyo (au mtu mwingine yeyote) akamatwe mara moja na kushitakiwa. Serikali iliyopo madarakani ipo kihalali tena kwa mujibu wa katiba na hata CDM kupitia mwenyekiti wao wamekiri hivyo mara kadhaa tena Bungeni. Sasa sijui huyu "Dr." Mrema anataka kuleta stori gani. Kama uwezo wa baadhi ya ma-Dr. wetu kupambanua mambo ndio umeishia hapo, kweli tuko hatarini.
 
aende kwanza loliondo akanywe dawa ya kisukar. Akpona 2tamckilza. Mm huwa nahic akil zmechakachuliwa na kisukar chake! Hana mvuto tn!

Haha haa umenifurahisha hapo, wabadilishane n jamaa wa lolilondo nini? Nadhani wanasiasa wa Tanzania hawana upeo wa kulewa kuwa siasa ni kama mpira wa miguu. Ukishazeeka na kuchuja basi tena. Kwa kweli amekuwa kama muwa uliokwishakamuliwa hata sisimizi hukata tamaa kulitembelea makapi yake. Angelitufanyia haki sana kama angetoweka na kukaa kimya kabisa tukamkumbuka kwa machache aliyofanikiwa huko nyuma. Hakuna anayeweza kumshauri? Ah!
 
ANGALIZO LA DK AUGUSTINO MREMA KWA CHADEMA NA UHAMASISHAJI WA MAANDAMANO - Global Publishers

Mbunge wa Jimbo la Vunjo, mwenyekiti wa Chama cha TLP na mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Fedha za Serikali za Mitaa Dk. Augustino Lyatonga Mrema akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo wakati alipotoa angalizo kwa chama cha CHADEMA kutokana na mikutano yake inayohamasisha maandamano akisema kuhamasisha maandamano kunaweza kuleta uvunjifu wa amani kama ilivyotokea kwa nchi za Madagascar, Misri, Tunisia na sasa Libya.

Dk. Mrema ameongeza kwamba kwa kawaida mkiiangusha serikali bila kufuata utaratibu wa kikatiba upo uwezekano mkubwa wa kuleta vurugu katika nchi kama ilivyotokea kwa nchi hizo za kiafrika ambazo hata walipoondolewa watawala ambao walikuwa hawatakiwa bado hakuna utulivu na mahali pengine jeshi limepata mianya ya kuchukua madaraka kwa lengo la kuhakikisha usalama wa nchi zao kama ilivyotokea kwa Misri ambayo kwa sasa inaongozwa na Jeshi.


Hiyo Dr Mrema imenichekesha sana Du! kazi kweli kweli vituko sasa hivyo Mrema kumbe ni Dr!
 
Mrema pointi anayo, lakini tunahitaji uwajibikaji katika rasilimali za nchi, na uwajibikajia huo kwa nchi kama Tanzania hauwezi kuja bila mikikimikiki!!!!!!!!!!!, hata nchi zilizoendelea historia inaonesha hivyo! Sasa kama watawala wanayo nia ya kubadilika hizo ni Indicator za YELLOW kabla ya kuwa RED, kwa hiyo wao wanatakiwa waelewe kuwa wanatakiwa wazibadili zisije kuelekea RED, bali wazifanye BLUE!! Ili kila Mtanzania aweze kuvuka kiurahisi kutoka Barabara ya UMASIKINI kwenda kwenye Barabara yenye NEEMA kama wanavyoneemeka wanazitafuna rasilimali takatifu za mpendwa wetu TANZANIA!!
 
chadema mnataka mbowe apewe udaktari wa kuuza bar. mrema juuu kamshinda daktari wa wakatoliki kupata 28% huku mwizi wa wake za watu daktari wa sakrementi asilimia 26

mrema baba mimi nimekukubali sana
 
JF si ya CDM wala CCM...hii kweli ni home of great thinkers...uwezi ukawa na akili nzuri ukashabikia mambo wanayofanya CCM hata kidogo...kwa great thinkers hakika huwezi kukubaliana na uozo huu.....wewe unasema sijui hapa kuna wapayukaji sio great thinker,yawezekana wewe ndio mpayukaji........Ukiipenda CCM kuna mawili,either wewe ni fisadi la kama sivyo wewe ni mpungufu wa akili..............
 
Mi nimemuelewa tofauti kidogo, nimemuelewa kuwa anakiri kuwa kikwete haitajiki na hakubaliki ila akitoka kwa maandamano kunaweza kuleta vurugu na machafuko na hivyo kuperekea hasifaidi kautamu ka Ubunge na M/kiti wa Kamati ya Bunge; kwahiyo yupo pamoja nasi ila hapendi haondolewe kwa maandamano, sasa namshauri hasituhutubie sisi bali akamshauri Kikwete aondoke kwa amani basi kama njia ya kuzuia machafuko maana yeye anashauri upande mmoja tu!.

Hajui kuwa yakija yanakuja kama mvua ya mafuriko hayazuiriki, nasikia Uganda kuna fuka moshi wenye taarifa watulete.
 
Nipo hapa habari maelezo nimekutana na mh mrema wa TLP anajaza fomu na maelezo yake yanasema kuzungumzia hali ya halisi ya kisiasa nchini... Huku akichaguliwa magazeti ya kuyalipa kaambiwa ila TANZANIA DAIMA hapana sijui atazungumza vihoja gani kesho saa nne

sasa nimejua kwa nini tz daima walimtolea nje
 
Honorary Doctorate
A university awards an honorary doctorate to a person who has made a significant contribution to society or to the university itself. Honorary doctorates do not require the recipient to have any formal education or an education at the school itself, and those who receive an honorary doctorate can use the title of "Dr." if they wish. Adding "h.c." after the degree is a way to denote that it is honorary. For instance, Meryl Streep (an alumnus of Yale University), who received an honorary degree from Princeton University in 2009, can now refer to herself as Dr.h.c. Meryl Streep.

An honorary degree does not imply that the recipient is now allowed to practice the profession in which he or she received the degree or to apply to teach at any university, though some universities might honor them as academic degrees depending on their policies. An honorary degree is simply an honor, and it can even be awarded by nonacademic organizations such as churches. An honorary degree cannot be requested, and a person must be nominated by a committee to be considered to receive one.


waambie hao chadema maaana hawajui......dr slaa ok...dr mrema no....wanafiki wakubwa hao chadema...tunajua huu ni uwanja wenu ila kuna some pple they dont think..jukwaa la siasa limekuwa sehemu ya umbea badala ya facts
 
Back
Top Bottom