JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Nimeshindwa kumuelewa mh.Mrema wanasimamia lipi katika Mswada wa katiba
mpya,Jambo ambalo limebeba utaifa wa tanzania ya sasa na ijayo jana nimemsikiliza mh. Mrema nkashindwa kumuelewa bwana huyu yuko upande upi au na yeye ni gamba na kama ni gamba je wananchi wa vunjo na wapo upande upi katika hili !!!!!!!!!!!!!
Job seeker.
mpya,Jambo ambalo limebeba utaifa wa tanzania ya sasa na ijayo jana nimemsikiliza mh. Mrema nkashindwa kumuelewa bwana huyu yuko upande upi au na yeye ni gamba na kama ni gamba je wananchi wa vunjo na wapo upande upi katika hili !!!!!!!!!!!!!
Job seeker.