Heee!!
Jamaa yupo serious kabisa akifoka kuhusu ubwabwa, hivi haoni wala kujiuliza mifumo na watu wanaosababisha huo ubwabwa kukosekana kwa wanannchi? Wakuu wa JF inabidi tumfumbue macho kwa
===
Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa Umma wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema amesema watanzania wasiichukulie mzaha Sera ya Lishe Kwa Wote(sera ya Ubwabwa) inayonadiwa na chama hicho.
Mrema akiwa Tabora Mjini, amesema sera hiyo inalenga kwenda kuondoa kodi zote zilizopo kwenye vyakula huku ikihakikisha mazao ya kilimo yanapiganiwa kupata masoko na pembejeo ili watanzania waweze kulima na kuuza ili kuondokana na umaskini na matatizo yaambatanayo na ukosefu wa mlo kamili kama utapiamlo.
Mrema ameeleza kuwa kuelekea uchaguzi Mkuu sera hiyo itaingizwa kwenye ilani ya chama chao huku akieleza kuwa taifa ambalo watu wake wana njaa haliwezi kufanya uzalishaji mzuri na hata Maendeleo kwa ujumla.
Chanzo: Jambo TV
Jamaa yupo serious kabisa akifoka kuhusu ubwabwa, hivi haoni wala kujiuliza mifumo na watu wanaosababisha huo ubwabwa kukosekana kwa wanannchi? Wakuu wa JF inabidi tumfumbue macho kwa
===
Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa Umma wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema amesema watanzania wasiichukulie mzaha Sera ya Lishe Kwa Wote(sera ya Ubwabwa) inayonadiwa na chama hicho.
Mrema akiwa Tabora Mjini, amesema sera hiyo inalenga kwenda kuondoa kodi zote zilizopo kwenye vyakula huku ikihakikisha mazao ya kilimo yanapiganiwa kupata masoko na pembejeo ili watanzania waweze kulima na kuuza ili kuondokana na umaskini na matatizo yaambatanayo na ukosefu wa mlo kamili kama utapiamlo.
Mrema ameeleza kuwa kuelekea uchaguzi Mkuu sera hiyo itaingizwa kwenye ilani ya chama chao huku akieleza kuwa taifa ambalo watu wake wana njaa haliwezi kufanya uzalishaji mzuri na hata Maendeleo kwa ujumla.