kandambili2
Member
- Aug 20, 2010
- 67
- 21
Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP) na Mwenyekiti wa bodi ya Parole Agustino Mrema amekosoa maazimio sita ya vyama vya upinzani nchini kwa kile alichokidai yanaweza yasiweze kuwa na matokeo yeyote kwa medani za siasa nchini.
Kwa mujibu wa Mrema maazimio hayo si mara kwanza kwa vyama vya upinzani nchini kuyafikia lakini yamekuwa hayana matokeo kutokana na kutokuwa na umoja baina ya vyama vya siasa nchini.
Akizungumza na www.eatv.tv amesema "haya maazimio waliyoyatoa ni kwao kama ilivyokuwa miaka ya nyuma japo baadaye walitofautiana kuyatekeleza, mimi siamini kama yatafanikiwa kwa sababu hawana umoja."
"Mfano mzuri mimi kule Vunjo walinitenga, wakaacha kupambana na CCM wakaanza kupambana na mimi ili wanitoe na wakafanikiwa kunitoa na athari zake zinaonekana kwa sababu Vunjo sio ngome ya upinzani tena."
Kwa mujibu wa Mrema maazimio hayo si mara kwanza kwa vyama vya upinzani nchini kuyafikia lakini yamekuwa hayana matokeo kutokana na kutokuwa na umoja baina ya vyama vya siasa nchini.
Akizungumza na www.eatv.tv amesema "haya maazimio waliyoyatoa ni kwao kama ilivyokuwa miaka ya nyuma japo baadaye walitofautiana kuyatekeleza, mimi siamini kama yatafanikiwa kwa sababu hawana umoja."
"Mfano mzuri mimi kule Vunjo walinitenga, wakaacha kupambana na CCM wakaanza kupambana na mimi ili wanitoe na wakafanikiwa kunitoa na athari zake zinaonekana kwa sababu Vunjo sio ngome ya upinzani tena."