Atafukuzwa kwa sababu za sheria za cdm, sio kwa utashi wako ww chawa ww ccm.Huyu mrema alikuwa mpuuzi aliekuwa ananga utawala wa CCM ,ni muda muafaka kwa CDM kufanya maamuzi sahihi wakati sahihi kwa niaba ya Watanzania
Fuatilia huyo ni chawa mwenzio.Halafu Lissu ndio huwa anawatetea eti mnajua kuandika