Mrejesho wakucomfirm vipimo vya HIV

Mrejesho wakucomfirm vipimo vya HIV

Neno UPUNGUFU WA KINGA MWILINI, kifupi chake ndy kinatisha watu sasa....

Mshukuru Mungu umepona, ila mpe moyo kuwa ndy maisha hayo ya duniani.
 
Vyangu viko sawa mzee nimerudia kupima takriban Mara 6 navyote mstar mmoja tu
Chakwangu icho
IMG_20211224_123153_861.jpg
 
Nimekiona, kwahiyo hiki kipimo chako ukapiga picha safi inayoonekana vizuri ila vile vingine picha wala haiko clear...
We utakua namtatizo ya macho mbona vinaonekana vizur tu picha tofaut karibia sita
 
Hali ilivyo sasa wanawake Wana wapenzi wengi kuliko wanaume, amini usiamini ila huo ndo ukweli.Vaa Mpira kwa usahihi usilete shobo
asilete shobo kabisa... mimi issue za kavu sitaki hata kusikia... hata condom nanunua zile ngumu kabisa
 
Kwenye mademu 10 utakuta 8 ni +Ve, Mnaopewa Kimasihara kuweni makini sana
 
bwana mapanki mshauri ujinga tu
Mkuu kuna watu wamezaliwa na HIV, wengine wameambukizwa kwa bahati mbaya kwenye ajali, au makazini hasa watoa huduma (nurse/ doctors) kwa nini tuwabague wakati science imetoa muongozo wa watu kuishi bila kuambukizana.

Hakuna aliyesalama na hukuna ajuaye kesho yake. Leo mzima kesho mgonja na wewe ubaguliwe????
 
Mapank shida kuishi kwa mashairiti hayo, kuna siku atadharau kwa kujaribu na kuona mbona fresh ata kupiga peku peku/rimu bila tairi ndio ataukwaaa
serikali ina kazi ya kutoa elimu vizuri kuhusu HIV
 
Kweli kabisa Kuna mmoja alikuwa ananiambia kondom zinamchubua kwa hiyo nivue, niligoma.Nikaenda na vipimo vilisoma fasta +ve.
Tatizo Njaa + Kuamini kila mtu baada ya kupenda zinawafanya walike kirahisi sana
 
Tatizo Njaa + Kuamini kila mtu baada ya kupenda zinawafanya walike kirahisi sana
Abdalah kichwa kidogo akikamata network, sehemu nyingine za mwili zinakwenda likizo, ILa ukimaliza kukojoa maswali ni mengi na mikakati ya kutorudia tena kosa huwekwa ingawa nayo pia hayana uhalisia kwani Abdalah ni shida
 
Back
Top Bottom