grandMullah23m
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 235
- 311
Wakuu,nawashukuru sana kwa maoni,ushauri na hoja zenu za kujenga na kushirikisha mawazo,mkeka wangu wa utumishi umetik..kwa sasa naona nikiachana na biashara za kukimbizana na migambo barabarani...na machungwa yangu...kwa vijana wenzangu wote pia nawashauri kutokata tamaa kwa lolote na kutokuogopa kujaribu fursa yoyote inayokuja mbele zako.Mimi sikuwa na connection yoyote ile,tofauti na kasumba ya wengi wanavyowazaga...Msiogope na wala msione aibu katika kujitaftia rizq halali.Jana nimeona mkeka nilivyokuwa kijiweni nikimenya machungwa kwenye jua Kali...itoshe tu kusema tumshkuru Mungu kwa yote.