Mrejesho wa kutafuta mchumba

wewe si kirahisi vile nataka nikupigie simu kila siku usiku saa 7 tuongee tena kwa sauti kwa muda wa mwezi mzima kabla ya chochote ujue mtu usiyemjua usimkurupukie kama zile risasi za Kinondoni mkuu
nipigie mm hata mwaka mfulilizo.
 
Mwanamke ukikosa bwana hata wa kukukamua mtaani kwako we ndio mwenye matatizo tena makubwa!! Unakuja tafuta mchumba JF na unawatangaza juu aseee no wonder umekosa hata kiben10 cha kukuliwaza panya wewe!
 
Hahahahahaha mkuu mimi ni mwanamke kabisa najua huwezi kuamini ila nilivyo ni ngumu kudanganywa na wanaume wenye akili ndogo mpaka uwe mjanja zaidi yangu
Yani we kama ni mwanamke kweli hujakutana na mwanaume mjanja na nakuombea usikutane nae usije leta thread ya kutaka jinyonga!!
 
Mwanamke ukikosa bwana hata wa kukukamua mtaani kwako we ndio mwenye matatizo tena makubwa!! Unakuja tafuta mchumba JF na unawatangaza juu aseee no wonder umekosa hata kiben10 cha kukuliwaza panya wewe!
Kwani nilikua natafuta hawara ?
 
Mwanamke ukikosa bwana hata wa kukukamua mtaani kwako we ndio mwenye matatizo tena makubwa!! Unakuja tafuta mchumba JF na unawatangaza juu aseee no wonder umekosa hata kiben10 cha kukuliwaza panya wewe!
Nmekosa mwenye sifa nizitakazo hlf kila mtu ana akili tofauti yawezekana mimi nilivutiwa kupata huku jf vipi una jingine ?
 
hahahah mpk uachane na yule mwanachuo anaekupigaga vimzinga vidogo vidogo...alafu uje upate vimzinga heavy huku
Haaa haa haa yule tulishapga chin
Ktambo ndo maana najileta
Kwako najua miznga yako

Hua inakuaga na huruma
Ndo nnachokupendea
 
Kwakweli mpaka nahakikishe
Inna amekaa kwenye 18 zang
I got you Comrade.

Ujue kila kitu kinazungumzika?, ni namna tu ya kutafuta msogeleo sahihi (Approach).

Yupo vizuri, Inna , Up-stairs the brain. Ukimkosa huyu mtoto, hutokaa uipate bahati kama hii. Trust me..

Impossible is nothing.
 
 
Hapo ngoma droo, wote mmeishia kuchunguzana, kila mmoja hataki kumpeleka mwenzake kwake,

Wewe hutaki kupeleka mgeni kwako na wao pia hawataki kupeleka mgeni kwao,

Nakushauri, ni bora ukubali kukutana na mtu bar kabla ya nyumbani kwake au kwako ,

kwanza itasaidia ikiwa mtu hutamridhia labda ki muonekano au hata namna ya uongeaji wake basi inakuwa rahisi tu quit mawasiliano,
 
yawezekana sikua serious ila reaction yake inatia hofu unajua kabisa ni tapeli utaendelea kutaka kutapeliwa?
 
Reactions: sab

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…