Mrejesho toka kwa bibi

Mrejesho toka kwa bibi

Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

Njia ya mwongo ni fupi, na cjui anapata faida gani
 
MO11 alitutahadharisha kuhusu huyu mtunzi
 
Last edited by a moderator:
Unafikiri angeenda angekuja kutumbia hapa?!

Hakuna kitu km hicho!

Btw amri kuu za Mungu mojawapo ni hii:usiabudu miungu wengine' mimi Mungu wako ni Mungu mwenye wivu'

Biblia inasema ' amelaaniwa amtegemeae mwanadamu moyoni mwake amenwacha Mungu'.

Think twice

Kumbe humu ndani tunapishana na wachawi??
 
Kumbe ndo maana wakati mwingine kiwango kinakuwa chini..unashidwa kupata jibu..!acheni hizo bana..
 
jana nilikuwa safarini kuja kibondo kwa bibi kama nilivyo eleza lengo langu sio kuua japo bibi alinipa option
1, kuua
2, kutengua ndoa
3, kumfanya awe anisi
4, asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi.
5, kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi

ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake.

Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii.
Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai.

Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio.
Nadhan jumatatu naanza safari ya kurudi home.

Asanteni
hakuna uchawi sikuhizi sasa hivi yesu anatawala bila hata aibu anaitwa anna....please uache kutuchafua watu wa kibondo bibi yako alishakufa
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

dah huyu kiumbe ni tatizo kuliko njaa!!!!!
 
Hahaaaa, kuna dada mmoja yupo hapa anaomba umtajie jina na mahali alipo akaprove kama kweli dawa imework!
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

kibokooo.......
 
Sasa mkuu anna Pita ikitokea na yeye jamaa akaenda kwa Babu kwenda kutegua hiyo kitu uliyo mfyatua na kukufanya wewe uwe "unavuja tuuu kila siku" bila kujali ratiba ya (Neil Armstrong) utafanyaje?? Pia uwe unatoa ni kile kiharufu cha siku zenu muda wote hata ukioga na kupga pafyumu za laki 5, je Utaridhika na hali hiyo?

hapo chacha......
 
Last edited by a moderator:
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

Yatamrudia, asitufanye hatuelewi
 
Tyta u have my point....please unikumbushe....
 
Last edited by a moderator:
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

Huwa nakwambia napenda kazi yako mkuu em kula laiki...... loo!!
 
Jana nilikuwa safarini kuja Kibondo kwa bibi kama nilivyo eleza lengo langu sio kuua japo bibi alinipa option
1, Kuua
2, Kutengua ndoa
3, Kumfanya awe anisi
4, Asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi.
5, Kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi

Ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake.

Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii.
Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai.

Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio.
Nadhan Jumatatu naanza safari ya kurudi home.

Asanteni

Kumbuka malipo ni hapa hapa duniani. Ulichofanya utapata malipo mara mbili yake. Mwisho wa siku huyo mtoto atabaki yatima.
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
Haniridhishi jamani

Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
inauma sana

Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
Wanaume stress tupu!!

Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
Natafuta kazi za ndani

Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
tutaishije!!!

Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?

Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

Umeona eeh, she is one big liar to the point hadi anasahau when she posted what; Ukisikia JF kuingiliwa ndio huku watu kuleta porojo za uongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom