Mrejesho toka kwa bibi

Mrejesho toka kwa bibi

Ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu nzuri.... Otherwise utaumbuka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

huyu atakuwa umukagame bila shaka
 
Last edited by a moderator:
Ungefikiria hata njia mpya ya kupata hata umeme kias ingesaidia kupiga hatua ya maendele ya nchi yetu.
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17



I like Tyta! Your good. Endelea kuwaumbua!
 
Last edited by a moderator:
Alimwaga mboga, weumemwaga ugali. Teh..tehh...teehh......
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

Na bado utaona kuna watu wanaendelea kumpa 'ushauri' eti
 
Si bora angemtengeneza liwe limesimama tu 24/7 bila kulala.
 
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

huyu dada ana matatizo
 
Jana nilikuwa safarini kuja Kibondo kwa bibi kama nilivyo eleza lengo langu sio kuua japo bibi alinipa option 1, Kuua 2, Kutengua ndoa 3, Kumfanya awe anisi 4, Asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi. 5, Kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi Ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake. Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii. Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai. Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio. Nadhan Jumatatu naanza safari ya kurudi home. Asanteni
ka dushe katalegea milele? akone na zalau zake
 
Jana nilikuwa safarini kuja Kibondo kwa bibi kama nilivyo eleza lengo langu sio kuua japo bibi alinipa option
1, Kuua
2, Kutengua ndoa
3, Kumfanya awe anisi
4, Asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi.
5, Kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi

Ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake.

Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii.
Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai.

Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio.

Nadhan Jumatatu naanza safari ya kurudi home.

Asanteni

Sasa mkuu anna Pita ikitokea na yeye jamaa akaenda kwa Babu kwenda kutegua hiyo kitu uliyo mfyatua na kukufanya wewe uwe "unavuja tuuu kila siku" bila kujali ratiba ya (Neil Armstrong) utafanyaje?? Pia uwe unatoa ni kile kiharufu cha siku zenu muda wote hata ukioga na kupga pafyumu za laki 5, je Utaridhika na hali hiyo?
 

Attachments

  • 10547654_684682258288757_695392811039958993_n.jpg
    10547654_684682258288757_695392811039958993_n.jpg
    15.9 KB · Views: 159
Last edited by a moderator:
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17


mwe..... Tyta weye chiboko.....hongera....
 
Last edited by a moderator:
Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17

Sijuwi kesho atakuja na lipi, jf ni kiboko yao.
 
He kumbe! ulikuwa serious
Jana nilikuwa safarini kuja Kibondo kwa bibi kama nilivyo eleza lengo langu sio kuua japo bibi alinipa option
1, Kuua
2, Kutengua ndoa
3, Kumf ulikuwaanya awe anisi
4, Asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi.
5, Kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi

Ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake.

Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii.
Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai.

Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio.
Nadhan Jumatatu naanza safari ya kurudi home.

Asanteni
 
Anna Pita mbona siredi zako za kichekesho sana. Haya sasa dushe halitanyanyuka tena. Hope mtuhumiwa si member huku JF maana atakuua. Jiandae kwani vita umeianzisha na ni nzito. Bora ungeua kabisa au nfanye kipofu. Atakuua.
 
Ndio maana ana pita...

Hata huyo mwanaume alikuwa anapita tu


Anna pita AGAIN.............

ULIANZA MCHUMBA WAKO HAKURIDHISHI...
[h=3]Haniridhishi jamani[/h] Started by Anna pita, 16th October 2012 09:10

MARA BAADA YA MWEZI MKAOANA NA BADO HAKURIDHISHI..
[h=3]inauma sana[/h] Started by Anna pita, 13th November 2012 15:36

BAADA YA WIKI 2 TU..UKATAFUTA MSAGAJI..
[h=3]Wanaume stress tupu!![/h] Started by Anna pita, 26th November 2012 15:39

MARA UKAANZA KUTAFUTA KAZI ZA NDANI TENA MIKOA YA MBALI MBALI..
[h=3]Natafuta kazi za ndani[/h] Started by Anna pita, 19th August 2013 16:34

MARA GHAFLA UNAMCHUMBA TENA UMETAMBULISHWA UOLEWE
[h=3]tutaishije!!![/h] Started by Anna pita, 19th January 2014 21:52

NA SASA ANAOA MWENGINE.

[h=3]Kweli nimuache aoe wakati mimi nahangaika na kiumbe chake?[/h] Started by Anna pita, 9th October 2014 10:17
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom