martins paul
Member
- Apr 17, 2015
- 22
- 12
Wakuu,
Juzi nimenusurika na janga baada ya kunyata kwenye chumba cha mgeni binamu wa wife kutoka Moshi. Binti huyo sikujua kama ni mlokole hivyo akaanza kunikemea kwa lugha nisiyoijua na kutishia kupiga kelele. Ndipo ikabidi nikimbie kurudi chumban kwetu.Nashukuru mungu hajamwambia wife hadi sasa na anaondoka kesho maana sijaona wife akiwa na mabadiliko yoyote hata majina ya honey, baby bado anayatumia kuniita ila yule mlokole ndo hatujaonana tangu siku ya tukio maana nmkwepa narudi usiku mwingi nimemdanganya wife nachelewa kutokana na mvua zinazoendelea roads zote zimefungamana
Ombi langu kwenu kwa kweli hii tabia binafsi siipendi basi ni shetani tu na pombe. Niombeeni niweze kuiacha hii tabia maana hata ma housegirl siku za nyuma mimi ndo nilikua nawafukuzisha kazi akifika mpya baada ya wiki naenda usiku chumbani mwake nagonga akifungua namuonesha elfu kumi ananiingiza ndani tunaendelea baadae namwambia wife binti hana adabu na ni mdokozi simtaki mfukuze kazi. Akileta housegirl mwingine nafanya hivyo sasa wamefika 4 Ila kwa ma hosegirl nimeacha bado tu kwa wageni wa kike.
Kuna shangazi wa wife alikuja kwetu umri wake umeenda lakini kaumbika mno nikagonga mlango wa chumba chake usiku wife akiwa amelala alipofungua nikaanza kumlilia hali huku nikimwonesha elfu hamsini nilyokua nimeshika mkononi ambapo alinivutia ndani na kufunga mlango haraka na tukafanya tendo la ndoa. Asubuhi pombe ilipoisha ndo nikaanza kujutia kitendo kile
Nimeshafanya hivyo na ndugu wengi wa wife na binam zangu wawili. Nikidhamiria kuacha tabia hii najiwekea na viapo kabisa lakini cha kushangaza akija tu mgeni wa kike alie na wowowo najikuta narudia tena. Ila huko nje sijawahi kutongoza wala kuzini na yeyote ni ndani tu. Safari hii nimedharia kuacha kabisa ndugu zangu.
Siku moja kanisani mchungaji alitoa changamoto kwa wanandoa akasema wanawake wote wanaoamini waume zao ni waadilifu na hawachepuki wawashike husbands zao mkono waje nao huku mbele nakumbuka wife alinishika haraka haraka kunipeleka mbele ndo siku hiyo nikajua ananiamin sana. Ingawa karibu wanandoa wote walitoka mbele hakuna aliebaki
Nimeeleza haya ili muone uzito wa tatizo langu na mniombe liishe
Wenu mtiifu
Juzi nimenusurika na janga baada ya kunyata kwenye chumba cha mgeni binamu wa wife kutoka Moshi. Binti huyo sikujua kama ni mlokole hivyo akaanza kunikemea kwa lugha nisiyoijua na kutishia kupiga kelele. Ndipo ikabidi nikimbie kurudi chumban kwetu.Nashukuru mungu hajamwambia wife hadi sasa na anaondoka kesho maana sijaona wife akiwa na mabadiliko yoyote hata majina ya honey, baby bado anayatumia kuniita ila yule mlokole ndo hatujaonana tangu siku ya tukio maana nmkwepa narudi usiku mwingi nimemdanganya wife nachelewa kutokana na mvua zinazoendelea roads zote zimefungamana
Ombi langu kwenu kwa kweli hii tabia binafsi siipendi basi ni shetani tu na pombe. Niombeeni niweze kuiacha hii tabia maana hata ma housegirl siku za nyuma mimi ndo nilikua nawafukuzisha kazi akifika mpya baada ya wiki naenda usiku chumbani mwake nagonga akifungua namuonesha elfu kumi ananiingiza ndani tunaendelea baadae namwambia wife binti hana adabu na ni mdokozi simtaki mfukuze kazi. Akileta housegirl mwingine nafanya hivyo sasa wamefika 4 Ila kwa ma hosegirl nimeacha bado tu kwa wageni wa kike.
Kuna shangazi wa wife alikuja kwetu umri wake umeenda lakini kaumbika mno nikagonga mlango wa chumba chake usiku wife akiwa amelala alipofungua nikaanza kumlilia hali huku nikimwonesha elfu hamsini nilyokua nimeshika mkononi ambapo alinivutia ndani na kufunga mlango haraka na tukafanya tendo la ndoa. Asubuhi pombe ilipoisha ndo nikaanza kujutia kitendo kile
Nimeshafanya hivyo na ndugu wengi wa wife na binam zangu wawili. Nikidhamiria kuacha tabia hii najiwekea na viapo kabisa lakini cha kushangaza akija tu mgeni wa kike alie na wowowo najikuta narudia tena. Ila huko nje sijawahi kutongoza wala kuzini na yeyote ni ndani tu. Safari hii nimedharia kuacha kabisa ndugu zangu.
Siku moja kanisani mchungaji alitoa changamoto kwa wanandoa akasema wanawake wote wanaoamini waume zao ni waadilifu na hawachepuki wawashike husbands zao mkono waje nao huku mbele nakumbuka wife alinishika haraka haraka kunipeleka mbele ndo siku hiyo nikajua ananiamin sana. Ingawa karibu wanandoa wote walitoka mbele hakuna aliebaki
Nimeeleza haya ili muone uzito wa tatizo langu na mniombe liishe
Wenu mtiifu