MREJESHO: Renata Mapunda amepatikana

MREJESHO: Renata Mapunda amepatikana

Ila shangazi yenu ana roho ngumu sana. 40 years hataki kujua hata nduguze wana hali gani? Imagine watoto hamjuani si mnaweza oana na kuzalishana. It's a pity aisee
Usimlaumu ,hayajakukuta unasahau kwenu mazima ,kwafaida TU usije mpa kiwanja au nyumba awe anakulindia mmakonde ,utakuja kukataa siopako
 
Ama hakika mitandao ya kijamii ina nguvu.. ni masaa 24 tu toka niombe msaada wa kumpata huyu mtu.. ni tayari nimesaidiwa kumpata kwa nguvu za JamiiForum, FaceBook.

ASANTENI WADAU..ASANTENI SANA..kila wazo nililitumia ipasavyo... Na nimempata bila kusafiri. Ni miaka 40+ toka tupotezane na huyo mtu...MUNGU NI MKUBWA JAMANI. Ukoo mzima wamejawa na furaha. Ukoo ulipanga kuzika mgomba tu kama utamaduni kwa mwili ulopotea pasipo onekana.

Karibuni.. hivi sasa pana Ngelenge, mbege, kwa kuku choma wa kienyeji wazee wanafurahi...karibuni Mpapa Mbinga.

Pia Soma:
- Msaada: Namtafuta Renata Mapunda
Msisahau kumshukuru Mungu sana.
 
mie mmatengo bwana... Kahawa, ndizi ni nyingi,. MBEGE KWETU NI NYINGI TU..
Ni vile siku hizi Dunia Iko kiganjani kuigana kama kawaida,,ila kiasili mmatengo Hana Mbege
 
Ni vile siku hizi Dunia Iko kiganjani kuigana kama kawaida,,ila kiasili mmatengo Hana Mbege
ndugu yangu mbege ipo umatengoni kitambo,.. Sehemu inapolimwa kahawa na migomba lazma iwepo, na huku kwetu ulezi pia unalimwa. Mbege ipo kwa ukawaida ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom