Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,787
Pole Mkuu Najua maumivu yake yalivyo!! Bila Shaka huyo hajafikisha hata 24 yrs... Ni mtoto, mtu mzima hawezi kufanyaa upuuzi Kama huyo... Sasa cha kufanya wewe mpotezee mazima... Usimtafute wala nini, ikiwezekana mblock kila mahali halafu futa namba zake, let her go... Ila nakuhakikishia lazima tu wataachana muda si mrefu, na atakutafuta... Hana msimamo huyo mtoto... Wanawake wako wengi sana ndg yangu hawaiishi. Jitahidi uepuke distance relationship kadiri iwezekanavyo. Huyo mdada amekudanganya, ukweli ni kwamba huyo mwanaume Alitoka nAe hapo hapo chuo wakaja Huku dar. Probably ni mwanafunzi mwenzie.