Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,110
Reaction score
2,786
Hello wanandugu ,Kwanza kabisa nashukuru Kwa wale wote walionipa mwanga kuhusu kuagiza Gari from Singapore ,Gari ilishafika na nililipa TSHS 350000 Kwa ajili ya inspection fee tu na wala sio asilimia 30 ya CIF ,Ajent wangu alilipia TBS baada ya kujaza form maalum baada ya hapo Kuna kitu kinaitwa NIT alipeleka hapo likafanyiwa ukaguzi halikupita maana Kuna vitu vilitakiwa virekebishwe ilikuwa Ni taa ya kurudi nyuma ,parking light, na walisema engine ina mwaga oil.

Oil seal ilikuwa imekufa ,ilikuwa Ni jumamosi ,ikabidi arudishe Gari home kwake ,Leo Alhamis limepita mtihani ,Ndio dereva wake anailete hapa maeneo ya Kia moshi ,ilikuwa Ni suzuki escudo 2007 ,naisubiria sijui nikaipokee pale njia panda Himo ,Kwa kweli bei yake ilikuwa rahisi sana mpaka ifike Ni $4400 ,hii Ni CIF,

HUYO AJENT NI MZURI SANA SANA HANA TAMAA WANANDUGU ZANGU ,KAMA KUNA MWANANDUGU ANATAKA KUIONA NAWEZA KUMTUMIA PICHA YA GARI KWA EMAIL ADDRESS OR WHATSAPP, ASANTENI KWA KWA USHIRIKIANO WENU NA MAWAZO MLIONICHANGIA ,I CAN'T WAIT TO GET MY NEW RIG ,MWISHO WA MWAKA LAZIMA IENDE MARANGU MAMBA IKAUPOKEE MWAKA MPYA KAMA HUYU YESU KRISTO ATAWEKA HAPO MKONO WAKE .
 
Hello wanandugu ,Kwanza kabisa nashukuru Kwa wale wote walionipa mwanga kuhusu kuagiza Gari from Singapore ,Gari ilishafika na nililipa 350000 Kwa ajili ya inspection na wala sio asilimia 30 ya CIF ,Ajent wangu alilipia TBS baada ya kujaza form maalum baada ya hapo Kuna kitu kinaitwa NIT alipeleka hapo likafanyiwa ukaguzi halikupita maana Kuna vitu vilitakiwa virekebishwe ilikuwa Ni taa ya kurudi nyuma ,parking light, na walisema engine ina mwaga oil. Oil seal ilikuwa imekufa ,ilikuwa Ni jumamosi ,ikabidi arudishe Gari home kwake ,Leo Alhamis limepita mtihani ,Ndio dereva wake anailete hapa maeneo ya Kia moshi ,ilikuwa Ni suzuki escudo 2007 ,naisubiria sijui nikaipokee pale njia panda Himo ,Kwa kweli bei yake ilikuwa rahisi sana mpaka ifike Ni $4400 ,hii Ni CIF, HUYO AJENT NI MZURI SANA SANA HANA TAMAA WANANDUGU ZANGU ,KAMA KUNA MWANANDUGU ANATAKA KUIONA NAWEZA KUMTUMIA PICHA YA GARI KWA EMAIL ADDRESS OR WHATSAPP, ASANTENI KWA KWA USHIRIKIANO WENU NA MAWAZO MLIONICHANGIA ,I CAN'T WAIT TO GET MY NEW RIG ,MWISHO WA MWAKA LAZIMA IENDE MARANGU MAMBA IKAUPOKEE MWAKA MPYA KAMA HUYU YESU KRISTO ATAWEKA HAPO MKONO WAKE .
Hongera kwa kutangaza show room yako.Lakini ni kama utatuingiza boya.Gari ilishafika na umelipia 350000,halafu unasema umelipia $4400,hii 350000 nini?Ni shilingi ya Tanzania au Kenya,Paunds,Kwacha,Rupia,Dola ya Zimbabwe au Kimarekani,Rupia,Nira,Mitkasi,Kroner n.k au?Kuwa serious unapo- promote biashara yako ya magari mbele ya waelewa zaidi yako.Wewe in mmiliki, dalali,karani au ndugu ya mmiliki,dalali au karani?

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Hongera kwa kutangaza show room yako.Lakini ni kama utatuingiza boya.Gari ilishafika na umelipia 350000,halafu unasema umelipia $4400,hii 350000 nini?Ni shilingi ya Tanzania au Kenya,Paunds,Kwacha,Rupia,Dola ya Zimbabwe au Kimarekani,Rupia,Nira,Mitkasi,Kroner n.k au?Kuwa serious unapo- promote biashara yako ya magari mbele ya waelewa zaidi yako.Wewe in mmiliki, dalali,karani au ndugu ya mmiliki,dalali au karani?

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Haina haja ya kumkosoa...muhimu kanunua [HASHTAG]#GarifromSingapore[/HASHTAG] basi!
 
Hello wanandugu ,Kwanza kabisa nashukuru Kwa wale wote walionipa mwanga kuhusu kuagiza Gari from Singapore ,Gari ilishafika na nililipa 350000 Kwa ajili ya inspection na wala sio asilimia 30 ya CIF ,Ajent wangu alilipia TBS baada ya kujaza form maalum baada ya hapo Kuna kitu kinaitwa NIT alipeleka hapo likafanyiwa ukaguzi halikupita maana Kuna vitu vilitakiwa virekebishwe ilikuwa Ni taa ya kurudi nyuma ,parking light, na walisema engine ina mwaga oil. Oil seal ilikuwa imekufa ,ilikuwa Ni jumamosi ,ikabidi arudishe Gari home kwake ,Leo Alhamis limepita mtihani ,Ndio dereva wake anailete hapa maeneo ya Kia moshi ,ilikuwa Ni suzuki escudo 2007 ,naisubiria sijui nikaipokee pale njia panda Himo ,Kwa kweli bei yake ilikuwa rahisi sana mpaka ifike Ni $4400 ,hii Ni CIF, HUYO AJENT NI MZURI SANA SANA HANA TAMAA WANANDUGU ZANGU ,KAMA KUNA MWANANDUGU ANATAKA KUIONA NAWEZA KUMTUMIA PICHA YA GARI KWA EMAIL ADDRESS OR WHATSAPP, ASANTENI KWA KWA USHIRIKIANO WENU NA MAWAZO MLIONICHANGIA ,I CAN'T WAIT TO GET MY NEW RIG ,MWISHO WA MWAKA LAZIMA IENDE MARANGU MAMBA IKAUPOKEE MWAKA MPYA KAMA HUYU YESU KRISTO ATAWEKA HAPO MKONO WAKE .
Weka hapa website ulikonunulia ili tuone aina nyingine za magari kama tunaweza kupata mbadala wa BE FORWARD, SBT na wezake
 
Haina haja ya kumkosoa...muhimu kanunua [HASHTAG]#GarifromSingapore[/HASHTAG] basi!
Amejichanganya na amekuchanganya wewe,huoni watu wenye uelewa mdogo wanaweza kukubaliana na alichokisema huyu aliyenunua gari/anaye-promote biashara yake?.Au ubishi wa mchana usiku usingizi wa mang'amu ng'amu?

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Hello wanandugu ,Kwanza kabisa nashukuru Kwa wale wote walionipa mwanga kuhusu kuagiza Gari from Singapore ,Gari ilishafika na nililipa 350000 Kwa ajili ya inspection na wala sio asilimia 30 ya CIF ,Ajent wangu alilipia TBS baada ya kujaza form maalum baada ya hapo Kuna kitu kinaitwa NIT alipeleka hapo likafanyiwa ukaguzi halikupita maana Kuna vitu vilitakiwa virekebishwe ilikuwa Ni taa ya kurudi nyuma ,parking light, na walisema engine ina mwaga oil. Oil seal ilikuwa imekufa ,ilikuwa Ni jumamosi ,ikabidi arudishe Gari home kwake ,Leo Alhamis limepita mtihani ,Ndio dereva wake anailete hapa maeneo ya Kia moshi ,ilikuwa Ni suzuki escudo 2007 ,naisubiria sijui nikaipokee pale njia panda Himo ,Kwa kweli bei yake ilikuwa rahisi sana mpaka ifike Ni $4400 ,hii Ni CIF, HUYO AJENT NI MZURI SANA SANA HANA TAMAA WANANDUGU ZANGU ,KAMA KUNA MWANANDUGU ANATAKA KUIONA NAWEZA KUMTUMIA PICHA YA GARI KWA EMAIL ADDRESS OR WHATSAPP, ASANTENI KWA KWA USHIRIKIANO WENU NA MAWAZO MLIONICHANGIA ,I CAN'T WAIT TO GET MY NEW RIG ,MWISHO WA MWAKA LAZIMA IENDE MARANGU MAMBA IKAUPOKEE MWAKA MPYA KAMA HUYU YESU KRISTO ATAWEKA HAPO MKONO WAKE .
limekaa kama tangazo la biashara ya clearing,n way gudluck
 
Hongera kwa kutangaza show room yako.Lakini ni kama utatuingiza boya.Gari ilishafika na umelipia 350000,halafu unasema umelipia $4400,hii 350000 nini?Ni shilingi ya Tanzania au Kenya,Paunds,Kwacha,Rupia,Dola ya Zimbabwe au Kimarekani,Rupia,Nira,Mitkasi,Kroner n.k au?Kuwa serious unapo- promote biashara yako ya magari mbele ya waelewa zaidi yako.Wewe in mmiliki, dalali,karani au ndugu ya mmiliki,dalali au karani?

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Mkuu wangu Ni Tshs Kwa ajili ya inspection tuu ,samahani Kwa kukukukwaza boss wangu ,
 
Mkuu wangu Ni Tshs Kwa ajili ya inspection tuu ,samahani Kwa kukukukwaza boss wangu ,
Boss hiyo Ni inspection fee tuu
Maana Singapore hawana Ajent wa TBS INABIDI WAJE KUFANYIA HAPA BONGO NAOMBA UNIELEWE MKUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom