Mrejesho: nashukuru nimepata mpenzi

Mrejesho: nashukuru nimepata mpenzi

Basi sawa.......ili jukwaa liendelea kunata na beat ndugu wepson..........wezesha basi kwa kitu kidogo ili na wengine wafaidi kama wewe..........
 
Last edited by a moderator:
Basi sawa.......ili jukwaa liendelea kunata na beat ndugu wepson..........wezesha basi kwa kitu kidogo ili na wengine wafaidi kama wewe..........

Niwezeshaje sasa?? Fungukeni mbona kila mara nasema vijana wenzangu mbadilike na muwe na displine mtafaidi tuu hapahapa Jf kuna watoto wakali so caring
 
hongera bana, vimbwanga vikianza usisahau kuleta mrejesho pia!
 
Unachangia pesa.........wasiliana na Invisible........

Hii fedha Invisible tunampa kama nani na inatumika kufanyia nini?? NANUKUU" Basi sawa.......ili jukwaa liendelea kunata na beat ndugu wepson..........wezesha basi kwa kitu kidogo ili na wengine wafaidi kama "Fedha ninayotoa inawanufaisha wenzangu kina na?ni
 
yakiharibika uwe tu mwanaume(sio wa kiume) msije kuaibishana hapa!

btw kilalakheri ktk safari mloianza
 
Sitaki kuserebuka sitaki majanga sitaki penda tena nataka kutamani nitakuwa nasema dada nimekutamani tupige game la kirafiki nimejifunza penda Only happen in movie

namuonea huruma mwanamke utaekuwa nae. tujifunzeni kuwa na mioyo ya chuma jamani. ukitendwa na mmoja usiondoke na mauumivu, yaache huko huko na iikitokea chance nyingine anza upya. kwa kasumba hii mahusiano yanazidi kuwa magumu. utapata mwanamke anaekupenda ila wewe hutamtreat vizuri, na hapo ndio utapoongeza idadi ya majeruhi wa mapenzi.
 
Sihitaji yoyote aitwaye Mwanamke katika maisha yangu nitajifunza njia mbadala za kutimiza haja zangu

Pole sana Superbrand lakini punguza hasira, utapata wako na wewe atakayekusahaulisha machungu yote.
 
Pole sana Superbrand lakini punguza hasira, utapata wako na wewe atakayekusahaulisha machungu yote.

Etiii,ngoja nimsubiri bhana kwani mambo yanaenda tu!!!

Ila kumpata sasa ndo shidah hii ana ana dooo ndo inaleta machafuko
 
Back
Top Bottom