Mrejesho: nashukuru nimepata mpenzi

Mrejesho: nashukuru nimepata mpenzi

Sidhani ila ndo sitokaa kufikiri tena wala si lazima kuoa au kuwa na mwenza

Mambo ya kufanya majiribio na maisha Mimi siwezi kwa kweli acha niwe mshamba

Umeongea kwa uchungu pole. , usijal muda ukifika utampata tu wa ubavu wako usichoke kumuomba mungu
 
Umbea huo! Kha! Ukisoma husahau? Hahaahahaha wakati nasoma nilimkumbuka sana mtu huyo huyo

hahahahaa we si ndio ticha wangu wa umbea lol shilingi ina pande mbili huyu analia yule anacheka
 
never take that road to mbagara it will remind you of the teacher...

Ahahaha umenifanya nicheke kidogo who is teacher by then??? Ndo nisiende huko amepita kama vinavyopita vitu vingine

Wanasema huo pia nao ni upepo na utapita tu hawezi dumu kifikra
 
Ahahaha umenifanya nicheke kidogo who is teacher by then??? Ndo nisiende huko amepita kama vinavyopita vitu vingine

Wanasema huo pia nao ni upepo na utapita tu hawezi dumu kifikra
But don't be surprised she might come again with same fake attracting stories...
 
But don't be surprised she might come again with same fake attracting stories...

Hahahaha me siwezi kuwa attracted mishipa ya upendo imekonda na purukushani za mjini haiwezi kurutubika

Even if atakuja with fake or real Id kwanza natamani nipewe ban ya mwaka nije 2016 atleast nitapumua
 
... kwanza natamani nipewe ban ya mwaka nije 2016 atleast nitapumua
mmmh hapo kwenye ban ya mwaka hapana...utakuwa nyuma ya dunia pls dont think about that...kuna mambo mengi humu ya kukupunguzia kukumbana naye...unaweza kuamua kushinda jukwaa la wakubwa!!
 
mmmh hapo kwenye ban ya mwaka hapana...utakuwa nyuma ya dunia pls dont think about that...kuna mambo mengi humu ya kukupunguzia kukumbana naye...unaweza kuamua kushinda jukwaa la wakubwa!!

Nitakuwa napita as a guest au pia haitawezekana
 
Sihitaji yoyote aitwaye Mwanamke katika maisha yangu nitajifunza njia mbadala za kutimiza haja zangu

Serebuka serubuka unaweza penda tena serebuka serubaka unaweza penda tena.....


Mhh!! Kijana pole sana usiseme hayo maneno tena unapishana na baraka zako,muombe tu Mungu akupe macho uone......nipe macho nione macho eeee nipe macho nione sawasawa by Christina Shusho.
 
Serebuka serubuka unaweza penda tena serebuka serubaka unaweza penda tena.....


Mhh!! Kijana pole sana usiseme hayo maneno tena unapishana na baraka zako,muombe tu Mungu akupe macho uone......nipe macho nione macho eeee nipe macho nione sawasawa by Christina Shusho.

Sitaki kuserebuka sitaki majanga sitaki penda tena nataka kutamani nitakuwa nasema dada nimekutamani tupige game la kirafiki nimejifunza penda Only happen in movie
 
Hongera sana wepson mfike mbali kwenye mapenzi yenu,kila lenye heri liwe nanyi.
 
Last edited by a moderator:
Sitaki kuserebuka sitaki majanga sitaki penda tena nataka kutamani nitakuwa nasema dada nimekutamani tupige game la kirafiki nimejifunza penda Only happen in movie

Kama ulivyosema ni upepo hata mimi naamini haya maneno yako ni hasira tu,yaani ujinyime mambo mazuri kwasababu ya ke moja tu umekutana naye JF hata kujuana vizuri hamjajuana, au uliwekeza kitu kwake kiasi kwamba chakukaba roho sana?? Come on best dont act like that!!!!!!
 
Hahahaha me siwezi kuwa attracted mishipa ya upendo imekonda na purukushani za mjini haiwezi kurutubika

Even if atakuja with fake or real Id kwanza natamani nipewe ban ya mwaka nije 2016 atleast nitapumua
Tena mimi alikua anamsongon wa mawazo sahivi anaamani kazi zinakwenda vizuri na mambo yote kwake shwari sana sasa yupo Airport terminal 1 ndo anatoka kazini sasa.Ila hapendi kua mbali na mimi naahivyo ninafisafari mwezi huu vya ugaibuni anyway tumediscuss amesema atakua poa tu ni hayo tu hivi punde yaliyojiri
 
Hahahaha me siwezi kuwa attracted mishipa ya upendo imekonda na purukushani za mjini haiwezi kurutubika

Even if atakuja with fake or real Id kwanza natamani nipewe ban ya mwaka nije 2016 atleast nitapumua

Icho kitu kinasumbua watu wengi sana
 
Back
Top Bottom