Chuku chuku
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 873
- 1,369
Aibu nimeona mie.YEHODAYA anajitiaga ni mlokole kumbe ni mchafu mbwa...watu kama hawa ndio wanaojificha katika kivuli cha ucha mungu kutenda ufirauni wao...huyu ni mpumbavu wa kwanza katika nchi hii
Ndugu, usiseme hivyo. Ofisi ya mkuu wa wilaya inapokea watu wa aina hiyo wengi sana kwa siku. Unadhani wataweza ikiwa hata hela ya wino wa printer tu ni shida?Hata Mimi nimeshangaa sana aisee.
Yaani ofisi ya wilaya ikose akiba hata ya 1.2m kusaidia watu wenye matatizo Kama haya.
Kiukweli viongozi wengi hawajui wanachokifanya kwenye ofisi zao yaani wapo wapo tu ili mradi wanaenda kazini na kurudi.
Hiyo ni kiatu ya tairi la gari..Dah nyota ndogo aliimba "kuna watu na viatu"
Ahsante..
ROBIN EVARISTO MIHO..
ST.BENARD TEACHERS COLLEGE
Chuo kipo jirani na stendi mpya ya basi Misuna.
Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
YEHODAYA unakumbuka ulichoandika hapa?
Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Sorry comment yako is already overtaken by event. Kwa taarifa zilizopo mleta mada alishajiua!Mkuu jaribu kwenda kanisani au msikitinj au nenda ustawi ukaandikiwe barua ya kusamehewa ada ...humu unapoteza muda tu
sent from toyota Allex
Dah😨@Maxence melo alikataa kufanya endosement kama inavyoonekana katika screenshot.
Taasisi niliyohitimu(ST.BENARD TEACHERS COLLEGE) mfumo wake wa malipo ni sawia na ule wa shule za sekondary (kwenda na payslip) ndiyo maana sijaweka account ya taasisi kwani nitakosa payslip kama udhibitisho wa malipo chuoni.
Naomba tusaidiane kwa kujitolea katika hili ili niweze kufikia lengo kwani hakuna mchango wowote toka kwa wanajamiiforum hadi sasa ingawaje nilitarajia kuungwa mkono zaidi na Jamiiforum lakini matarajio yamekuwa tofauti licha ya kuweka vidhibitisho vyote.View attachment 1200843
Saa hizi unajisikiaje?Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
He already committed succeed,there is lesson here .Mkuu jaribu kwenda kanisani au msikitinj au nenda ustawi ukaandikiwe barua ya kusamehewa ada ...humu unapoteza muda tu
sent from toyota Allex
Don't preach negativity life is too short we have to love each other.Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka