Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,451
Habari za leo.
Katika uzi uliopita nilichapisha uzi ufuatao...
www.jamiiforums.com
Kwa lengo la kukusanya michango ya kifedha ili niweze kukomboa cheti changu cha kuhitimu Astashahada ya ualimu.
Ikumbukwe mlezi wangu alipata matatizo kwa kupoteza ajira yake,hii ilipelekea kushindwa kumudu kumaliza ada ya chuo.
Katika harakati za kutafuta shughuli za kujikimu nilibahatika kukutana na mwana-jamiiforum mmoja aliyejitolea kunisaidia kuomba ajira kutoka TSD.
Hata hivyo TSD wao huhitaji vyeti ili waweze kukuhudumia katika kusaidia watu wenye changamoto mbalimbali za Ulemavu kuweza kupata ajira.
Bahati mbaya vyeti sikuwa navyo na chuo hakikuwa tayari kunipatia bila kumaliza deni la ada kwa jumla ya tsh 1,160,000/=
KWANINI NAOMBA MSAADA.?
Mosi,Kwa sababu familia yangu haina uwezo kwa sasa baada ya mtegemezi kupoteza kibarua.
Pili,baada ya miezi tisa ya kutafuta ajira na miezi nane ya kujitolea bila malipo pamoja na kufuatilia kwa viongozi mbalimbali wa mkoa juu ya suala hili,mwisho wa siku wakanipatia kibali cha kuchangisha hivyo ndio sababu kuu ya kuja kwenu.
Tatu,kutokana na hali ya sasa ya upatikanaji wa ajira na hali ya ulemavu wa masikio imeniwia vigumu sana kupata ajira na vibarua mbalimbali hivyo kuishi katika mazingira magumu.
Nne,Hitaji la kujikwamua kimaisha na,
Tano,ukosefu wa mtaji na rasilimali katika kujiajiri.
HIVYO BASI:Kwa wana-Jamiiforum,viongozi na taasisi mbalimbali:
Ni matumaini yangu kuwa kila mmoja anaweza kuwa msaada kwangu kwa nafasi yake katika kunisaidia katika hili.
Nawasilisha kwenu kibali cha kuchangisha pamoja na orodha ya waliojitolea kunisaidia kwa chochote.
Ahsante na Mungu awabariki sana.
Kwa mawasiliano:
0677-421-378-Tigo.
0776-741-545-Zantel.
Katika uzi uliopita nilichapisha uzi ufuatao...
Mengine haya huumiza, Tusaidiane...
Kwa wanajamiiforum,viongozi na taasisi mbalimbali. Mimi ni kijana wa miaka 25,mkazi wa Mtwara na nina tatizo katika masikio(hearing impairment) Ilikuwa mwaka 2004 nilipoamka na kukuta usikivu umepotea na kubaki na usikivu hafifu,hususani katika matamshi ni vigumu kuelewa bila kutumia facial...
Kwa lengo la kukusanya michango ya kifedha ili niweze kukomboa cheti changu cha kuhitimu Astashahada ya ualimu.
Ikumbukwe mlezi wangu alipata matatizo kwa kupoteza ajira yake,hii ilipelekea kushindwa kumudu kumaliza ada ya chuo.
Katika harakati za kutafuta shughuli za kujikimu nilibahatika kukutana na mwana-jamiiforum mmoja aliyejitolea kunisaidia kuomba ajira kutoka TSD.
Hata hivyo TSD wao huhitaji vyeti ili waweze kukuhudumia katika kusaidia watu wenye changamoto mbalimbali za Ulemavu kuweza kupata ajira.
Bahati mbaya vyeti sikuwa navyo na chuo hakikuwa tayari kunipatia bila kumaliza deni la ada kwa jumla ya tsh 1,160,000/=
KWANINI NAOMBA MSAADA.?
Mosi,Kwa sababu familia yangu haina uwezo kwa sasa baada ya mtegemezi kupoteza kibarua.
Pili,baada ya miezi tisa ya kutafuta ajira na miezi nane ya kujitolea bila malipo pamoja na kufuatilia kwa viongozi mbalimbali wa mkoa juu ya suala hili,mwisho wa siku wakanipatia kibali cha kuchangisha hivyo ndio sababu kuu ya kuja kwenu.
Tatu,kutokana na hali ya sasa ya upatikanaji wa ajira na hali ya ulemavu wa masikio imeniwia vigumu sana kupata ajira na vibarua mbalimbali hivyo kuishi katika mazingira magumu.
Nne,Hitaji la kujikwamua kimaisha na,
Tano,ukosefu wa mtaji na rasilimali katika kujiajiri.
HIVYO BASI:Kwa wana-Jamiiforum,viongozi na taasisi mbalimbali:
Ni matumaini yangu kuwa kila mmoja anaweza kuwa msaada kwangu kwa nafasi yake katika kunisaidia katika hili.
Nawasilisha kwenu kibali cha kuchangisha pamoja na orodha ya waliojitolea kunisaidia kwa chochote.
Ahsante na Mungu awabariki sana.
Kwa mawasiliano:
0677-421-378-Tigo.
0776-741-545-Zantel.