exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,376
- 4,093
- Thread starter
- #21
Tuendelee kushauliana nichukue hatua gani ikiwa tumeshasameheana mkuuWe bado dhaifu mapenzini.
Na kuna dalili mapenzi yatakuja kukusumbua.
Mwanaumae Imara unatakiwa ukaze kweli kweli.
Na wanawake wote wana tabia ya kutest mambo.
Heshima yako haiwezi kuja ukiwa nyoro nyoro dakika 15 tu ushabadili mawazo, au eti kaka mtu anakubadilisha mawazo.
