Namge
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,380
- 1,846
Wana janvi natumai mu wazima.. Na mnaendelea kugangamala na uchumi wa hapa kazi tu.. Ambao sio rafiki na mifuko yetu.
Dhumuni kubwa la uzi huu ni kutoa shukrani zangu za dhati kwa ushaur na ushirikiano katka wakat wote wa mpito wa maumivu ya mapenzi na kuvunjika kwa mahusiano..
1)Baada ya ushaur na maoni ya wana janvi pamoja na kuchanganya na zangu nikaona hamna zaidi ya kupiga chini uhusiano na kuanza upya. (kuanza upya si ujinga)
2)Shukrani za dhati kwa wana janvi ambao walikuja pm na kushauriana nao zaid na kunipa experience zao ambazo zilinijenga Sana na kunitia moyo.. Mbarikiwe Sana
3)Dada zangu wapendwa ambao mlisimama upande wangu na kuonyesha kuwa alichofanya mwanamke mwenzenu sio busara.. Kwakweli mlinitia nguvu kias kwamba. Nmemsamehe bure na wala sitabeba chuki dhidi ya jinsia ke (I believe Wanawake wazur na waaminifu bado wapo)
Na mwisho tuzid kuwa na moyo huu.. Na msichoke kushaur Wengine..
Na Mbarikiwe sana
Sina cha kuwalipa lakini mmekuwa faraja kubwa Sana
Nawapenda wana janvi wote wa jukwaa hili pendwa.
Dhumuni kubwa la uzi huu ni kutoa shukrani zangu za dhati kwa ushaur na ushirikiano katka wakat wote wa mpito wa maumivu ya mapenzi na kuvunjika kwa mahusiano..
1)Baada ya ushaur na maoni ya wana janvi pamoja na kuchanganya na zangu nikaona hamna zaidi ya kupiga chini uhusiano na kuanza upya. (kuanza upya si ujinga)
2)Shukrani za dhati kwa wana janvi ambao walikuja pm na kushauriana nao zaid na kunipa experience zao ambazo zilinijenga Sana na kunitia moyo.. Mbarikiwe Sana
3)Dada zangu wapendwa ambao mlisimama upande wangu na kuonyesha kuwa alichofanya mwanamke mwenzenu sio busara.. Kwakweli mlinitia nguvu kias kwamba. Nmemsamehe bure na wala sitabeba chuki dhidi ya jinsia ke (I believe Wanawake wazur na waaminifu bado wapo)
Na mwisho tuzid kuwa na moyo huu.. Na msichoke kushaur Wengine..
Na Mbarikiwe sana
Sina cha kuwalipa lakini mmekuwa faraja kubwa Sana
Nawapenda wana janvi wote wa jukwaa hili pendwa.