Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Asante sana wana JF waliochangia hii mada ya Dawa ya fungus ,kweli kama nilivyoomba msaada nilifuata huo ushauri na kwenda kwenye phamacy kununua Dawa ya cream inayoitwa GENTRISONE na nimepaka kwa siku 3 tuu na fungus zimepona kabisa.
Nilinunua pale Monas Pmamacy ,Arusha 4,000.
Asante sana mheshimiwa Chalotte.
Nilinunua pale Monas Pmamacy ,Arusha 4,000.
Asante sana mheshimiwa Chalotte.
Attachments
Last edited by a moderator: