Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa



Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika...
www.jamiiforums.com
Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya
Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu
I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami
Tunapenda tusiko pendwa