Mrejesho kuhusu ushauri nilioomba

Mrejesho kuhusu ushauri nilioomba

Hapo ile principle ya UKINAIFU inakuwa ipo kazini.
Ni wanawake wachache ambao huwa ukiwapenda wanarufisha upendo kwa upendo. Wengi ukionyesha kuwapeda sana ni wanaanza kujisahau. Hata mawasiliano yanafifi maana wanajua muda wowote unapatikana wakikutaka. Wengi huwa mnajisahau.
Ile effort kabla hamjawa wapenz inakuwa kubwa. Mkifanikiwa kuingia kwenye mapenz. Effort inashuka.that according to my experience. Ukitaka na evidence ninazo.
Na pia kuna research juu walizofanya wana sayansi kuhusu ilo
 
nikushauri kitu next time una date tena. ukimpenda msichana kamwe usimuonyeshe maisha yako yote ni kwake tu attention sijui nini hapana, ishi maisha yako jipende wewe kwanza halafu mwingine ndo afuate. balance attention yako mpe kiasi nyingine kwa rafiki zako, familia na shughuli zako za kiuchumi. muoneshe kuwa apart from her wewe kama wewe una maisha yako na priorites zako. all the best
Mwake
 
Pesa nimempa ilifikia time nikaona ndio future wife
Nimemhudumia kuna time alikua anapeleza ada anakosa nauli ya kurudia chuo anakosa chakula unampa
Nimemhudumia aisee mpaka sometimes nawaza ningejua zile pesa zingekua zinakaa tu but all in all nilifanya kwa mapenz yangu mwenyewe ishapita
Mwanume kama huna hela, kazi ya kumlinda mpenzi wako muachie Mungu.
 
Sawa mkuu
Yamkini akawa amejifunza kupitia vituko alivyokufanyia wewe na ameamua kutoka moyoni kujirekebisha.Utajuaje?.Nakushauri shika yako straight,yake muachie mwenyewe.
 
Kwenye kundi la vipofu chongo ni mfalme...

Sasaa umeona mbelee.
 
Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa

Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya

Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu

I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami

Tunapenda tusiko pendwa
Yaani hapo amepata mwingine sasa wewe umewekwa pending ili yule mpya akizingua arudi kwako mazima.

Au amepata mwingine lkn hamuhudumii kama wewe so wewe unabaki wa huduma tu mapenzi anapewa mpya

Kama umejitoa ni jambo jema sana, ila nakuhakikishia atarudi tu siku si nyingi
 
Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa

Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya

Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu

I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami

Tunapenda tusiko pendwa
katika mahusiano yoyote yale iwe mwanamke au mwanaume ikitoke kaachwa na mtu aliyekuwa anampenda ila anafanya vituko vya hapa na pale ndio inakuwaga hovo lazia roho imuume na kyfikiria kwamba keshampoteza na nature ya manadamu...kwa hilo umefanya la maana na unakaribishwa kuwa mwanaume kamili maana siku nyinine ukikutana na type kama hii utapia chini mapema sana na wala hutashangaa ni congrats
 
Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa

Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya

Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu

I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami

Tunapenda tusiko pendwa
Pole sana mkuuu,ila umefanya makosa kumwambia ukweli,ilitakiwa umuache kimya kimya
 
Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa

Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya

Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu

I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami

Tunapenda tusiko pendwa
mkuu naomba namba ya uyo dada PM ili nimpunguze mawazo, nakuhakikishia nita mgegeda ndani ya siku moja tuu
 
Juzi kupitia jukwaa hili niliomba ushauri hapa

Finally nimebreak up na mtu niliempenda saaana ktk maisha yangu ingawa ni ngumu nimeamua iwe hivyo manake naona kama amegundua anapendwa na anafanya makusudi makubwa sana na kuonesha dharau ya ajuabu kutokua na mawasiliano mazuri kwa kuojibu text na kupokea sim,kutoa majibu mabaya

Ingawa leo baada ya kumuambia hivyo amegeuka kua msumbufu anapiga sim kila muda kujua ni kwanini nimemuamua kumuacha na nikamuweka wazi juu ya lifestyle yake ndio chanzo
I don care nimempa nini nimemsaidia nini lkn moyo wangu mimi ni upendo na upendo ndo kila kitu sowezi kuendelea kutesa moyo wangu

I don care acha apite hivi aende zake
Nilimpenda lakini hakua na hisia nami

Tunapenda tusiko pendwa
sawa kwa taarifa, sasa kaa kimya tuone kama umekomaa ki maamuzi. fanya mambo yako huru, japo mawazo, na kuumia moyo lazima lazima ikutokee tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom