Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Pole sana. Watu ambao sio waaminifu wanatesa sana .Ndugu wengi yametukuta na mazito zaidi ya haya ya kwako lakini kwa busara na hekima tuliweza kushinda mfano mimi ndyomaana naweza hata kuandika now , but chakufanya hakikisha unaweka mazingira ya kiusalama umkabidhi vitu vyake umuache aende zake haijalishi unampenda kiasi gani utazowe tu , mimi niliachwa na watoto wadogo mno kisa ex wa mke wangu katoka nje kimasomo lakini nisha settle .
Nawasilisha
Kitendo Cha kumpa papuchi yangu MTU mwingine, uaminifu umeishia hapo...mie Huwa nazinyonya sa kama ashaipiga MTU mwingine yanini tena. Miez 3 inatosha kusahaulisha yaliyopita..Halafu kwa sasa hivi akili yako haipo sawa kabisa. Kwa sasa moyo ndio unaokuongoza. Nadhani kila ukifumba macho unamuona anavyovutia na umbo lake akiwa uchi, unayaona makalio yake yanavyovutia, kisha unapiga picha kuna jamaa mwingine anapendwa kuliko wewe na anayashika hayo makalio kadri anavyojisikia, ...hicho ndio kinakuumiza jomba. Okay fanya hivi jikaze kama miezi miwili hivi bila kumtafuta. Nina uhakika yeye na huyo jamaa hawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, wataachana tu. Baada ya miezi miwili mtafute kupima upepo, ukikuta bado yupo na jamaa basi jiambie nafsini mwako kuwa huyo sio wako tena, na uweke nadhiri ya kuachana naye. Ila ukimkuta washamwagana na jamaa basi mrudie ili usiendelee kuumia. Huyo demu unampenda mpaka basi hivyo wewe ufuate moyo wako baada ya hiyo miezi 2 provided hayuko na jamaa.
My manπYaani wanaume wote wa Dar wangekuwa hivi kama wewe mbona sie tuliye mbali tungejivunia. Hongera sana kwa maamuzi haya na ujasiri ulioufanya kwa huyu changu.Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua mpaka sasa! Nimejitoa kwa mpenzi wangu nimegundua haya. Je, nifanyeje?
Baada ya kupost uzi ule siku ile ya jumanne mchana 12/1 nakumbuka niliamua kuondoka Jioni yake kuelekea Dar bila kutoa taarifa yoyote kwa mama mtoto wangu! niliondoka Arusha Baada ya kutoka ofisini na kukamilisha taratibu za ruhusa mnamo saa 10 Jioni kuelekea Dar. Nikasafiri usiku kucha kwa private nikiwa na lengo la kufika Dar kabla hakujapambazuka kwa ajili ya kutimiza lengo la ambush!
Safari ilikua Poa Na Mungu Ila Baada Ya Kupita Bagamoyo Mwendo Kama Wa Saa 11 Alfajiri Tulipata Changamoto Kidogo kwenye Gari ambayo ilitubidi tuchelewe kidogo kwenye kuitatuta mpaka kunaanza kupambazuka mwendo wa saa 12 kasoro tukawa tumefanikiwa kutatua tatizo. Tukamalizia Safari ambapo mpaka saa 12 na nusu asubuhi nilikua nishafika Eneo La tukio.
Cha Kwanza Wakati nafika sikuingia ndani ya Geti moja kwa moja ikabidi nipite mpaka nyuma ya dirisha kuhakiki kama kuna chochote nitapata. Nilipoona kimya kwa kuwa Geti lilikuwa wazi kwa mda huo nadhani kwa sababu watu walikua washaanza kutoka kuelekea makazini nikaingia Ndani Moja Kwa Moja!
Nikaenda Moja Kwa Moja Mpaka Kwenye Mlango Nikastuka baada ya kuona malapa ya kiume mlangoni! Niilipogeuka kuangalia kwenye kamba nikaona kuna shati la kiume limefuliwa na kuanikwa sambamba na vest white. Moyo Ukaanza Kunienda Mbio Nikahisi Naanza Kukosa Nguvu. Nikapiga Moyo Konde Nikagonga Mlango,Mara ya kwanza,ya pili,ya tatu nikasikia kuna mtu kama Kagusa kitasa cha katoka chumbani na mlango kwa hisia za mbali kama ulifunguliwa akatoka mtu akatulia sebleni pale kwa mda kukawa kimya. Nikagonga tena kama mara 3,Kimya.
Nikapata idea baada ya kuona moja ya dirisha upande wa chumbani (Madirisha ya alminium ya kuslide) Liko wazi Nikaenda mpaka pale kwenye dirisha nikaingiza mkono kusogeza pazia ili niweze kuona ndani chumbani.
Baada ya pazia kunipisha nikawaona watu wawili ndani (Mwanamke wangu na Jamaa) Wameshikwa na kama bumbuwazi wakiwa kama wanajadili wafungue mlango ama lah! Baada ya kuniona jamaa panic ikazidi nikaanza kumshurutisha afungue mlango niingie,jamaa nae akawa ameanza kama kumsihi ''Nenda Tu Kamfungulie''.
Baada Ya argument za mda mchache alikuja mpaka sebuleni na kunifungulia mlango nikaingia moja kwa moja mpaka ndani na kuanza kugomba huku nikiwashurutisha watoke. Nilipandwa na hasira na niliumia sana ila nilimwomba Mungu anipe uvumilivu nisije fanya kitu chenye majuto mda huo. Nikafanikiwa kuwashurutisha wakatoka bila kutokea kwa ugomvi mkubwa zaidi. Baada ya kutoka nikakaa Sebuleni kwa mda kama wa lisaa lizima nikiwaza cha kufanya. Baadae nikaamua nitafunga nyumba na kurudi zangu Arusha.
Nikapumzika siku nzima ndani nikiwa na mawazo na nikiwa nimeumia na kuugua kuliko kawaida, nilichokumbuka ni kupiga magoti kuomba na kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea. Baadae jioni nikatafuta fundi wa kuchomelea grill akanisaidia kutengeneza mlango wa nje uliokuwa umechomoka,Nikanunua Kofuli la lile grill,Asubuh na mapema siku inayofuata Nikafunga Nyumba nikapanda Basi Kurudi Arusha.
Mpaka Sasa niko Arusha Sijawahi kumpigia simu wala kuwasiliana nae kwa chochote Tangu Nitoke Huko Last Wednesday,Ila Siku ya Alhamisi last week nilipokea simu toka kituo kimoja cha police Dar wakaniambia kuna mwanamke ameenda kupeleka malalamiko kwamba amepigwa na anataka kufungua mashtaka. Kulingana na maelezo Afande anasema baada ya kumhoji maswali kwa kugundua kwamba ni kesi za kimahusiano ambayo walimshauri aende kwenye dawati la jinsia kujielezea.Baadae wanasema alibadili msimamo na akasema hatati tena kunifungulia kesi anachotaka ni kuchukua vitu vyake na mimi nichukue nyangu tumalizane.
Baada ya pale akaniambia na yeye amenipigia simu kunisikiliza na kuchukua maelezo kwangu pia. Basi nami nikamweleza whole situation ilivyokuwa jamaa nikamwambia yote niliyomwelezea amuulize then atagundua ukweli. Baada ya hapo Akanipa pole kwa yote na kunipatia ushauri personal ni kipi cha kufanya nikaupokea akaahidi atampigia simu kumuita kwa ajili ya maelezo zaidi na kumaliza huu utata.
kesho yake nikampigia Afande simu kumuuliza walipofikia akaniambia alimcheki lakini hakumpata hewani akamuachia ujumbe wa kurudi kituoni na akaahidi chochote kitakachoendelea atanijulisha.
Tangu Siku hiyo mpaka Leo hamna feedback yoyote nimepata toka kwao. Kikubwa nimekua mtu wa maombi sana na kumwomba MUNGU wangu anivushe kwenye hili na kuruhusu amani yake pekee ndio iamue nafsini mwangu.Na Nauhakika kwenye Hili atanipigania na nitalivuka kwa ushindi mkubwa. Nimewaza nimrudishie tu funguo na nikae kimya kusubiri Mungu aamue! Na Siwezi kuwa wa kwanza kushika simu kumtafuta. Naomba Ushauri wa ziada kama upo juu ya hili linaloendelea sasa!!...
Hii haina mrejesho?Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua mpaka sasa! Nimejitoa kwa mpenzi wangu nimegundua haya. Je, nifanyeje?
Baada ya kupost uzi ule siku ile ya jumanne mchana 12/1 nakumbuka niliamua kuondoka Jioni yake kuelekea Dar bila kutoa taarifa yoyote kwa mama mtoto wangu! niliondoka Arusha Baada ya kutoka ofisini na kukamilisha taratibu za ruhusa mnamo saa 10 Jioni kuelekea Dar. Nikasafiri usiku kucha kwa private nikiwa na lengo la kufika Dar kabla hakujapambazuka kwa ajili ya kutimiza lengo la ambush!
Safari ilikua Poa Na Mungu Ila Baada Ya Kupita Bagamoyo Mwendo Kama Wa Saa 11 Alfajiri Tulipata Changamoto Kidogo kwenye Gari ambayo ilitubidi tuchelewe kidogo kwenye kuitatuta mpaka kunaanza kupambazuka mwendo wa saa 12 kasoro tukawa tumefanikiwa kutatua tatizo. Tukamalizia Safari ambapo mpaka saa 12 na nusu asubuhi nilikua nishafika Eneo La tukio.
Cha Kwanza Wakati nafika sikuingia ndani ya Geti moja kwa moja ikabidi nipite mpaka nyuma ya dirisha kuhakiki kama kuna chochote nitapata. Nilipoona kimya kwa kuwa Geti lilikuwa wazi kwa mda huo nadhani kwa sababu watu walikua washaanza kutoka kuelekea makazini nikaingia Ndani Moja Kwa Moja!
Nikaenda Moja Kwa Moja Mpaka Kwenye Mlango Nikastuka baada ya kuona malapa ya kiume mlangoni! Niilipogeuka kuangalia kwenye kamba nikaona kuna shati la kiume limefuliwa na kuanikwa sambamba na vest white. Moyo Ukaanza Kunienda Mbio Nikahisi Naanza Kukosa Nguvu. Nikapiga Moyo Konde Nikagonga Mlango,Mara ya kwanza,ya pili,ya tatu nikasikia kuna mtu kama Kagusa kitasa cha katoka chumbani na mlango kwa hisia za mbali kama ulifunguliwa akatoka mtu akatulia sebleni pale kwa mda kukawa kimya. Nikagonga tena kama mara 3,Kimya.
Nikapata idea baada ya kuona moja ya dirisha upande wa chumbani (Madirisha ya alminium ya kuslide) Liko wazi Nikaenda mpaka pale kwenye dirisha nikaingiza mkono kusogeza pazia ili niweze kuona ndani chumbani.
Baada ya pazia kunipisha nikawaona watu wawili ndani (Mwanamke wangu na Jamaa) Wameshikwa na kama bumbuwazi wakiwa kama wanajadili wafungue mlango ama lah! Baada ya kuniona jamaa panic ikazidi nikaanza kumshurutisha afungue mlango niingie,jamaa nae akawa ameanza kama kumsihi ''Nenda Tu Kamfungulie''.
Baada Ya argument za mda mchache alikuja mpaka sebuleni na kunifungulia mlango nikaingia moja kwa moja mpaka ndani na kuanza kugomba huku nikiwashurutisha watoke. Nilipandwa na hasira na niliumia sana ila nilimwomba Mungu anipe uvumilivu nisije fanya kitu chenye majuto mda huo. Nikafanikiwa kuwashurutisha wakatoka bila kutokea kwa ugomvi mkubwa zaidi. Baada ya kutoka nikakaa Sebuleni kwa mda kama wa lisaa lizima nikiwaza cha kufanya. Baadae nikaamua nitafunga nyumba na kurudi zangu Arusha.
Nikapumzika siku nzima ndani nikiwa na mawazo na nikiwa nimeumia na kuugua kuliko kawaida, nilichokumbuka ni kupiga magoti kuomba na kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea. Baadae jioni nikatafuta fundi wa kuchomelea grill akanisaidia kutengeneza mlango wa nje uliokuwa umechomoka,Nikanunua Kofuli la lile grill,Asubuh na mapema siku inayofuata Nikafunga Nyumba nikapanda Basi Kurudi Arusha.
Mpaka Sasa niko Arusha Sijawahi kumpigia simu wala kuwasiliana nae kwa chochote Tangu Nitoke Huko Last Wednesday,Ila Siku ya Alhamisi last week nilipokea simu toka kituo kimoja cha police Dar wakaniambia kuna mwanamke ameenda kupeleka malalamiko kwamba amepigwa na anataka kufungua mashtaka. Kulingana na maelezo Afande anasema baada ya kumhoji maswali kwa kugundua kwamba ni kesi za kimahusiano ambayo walimshauri aende kwenye dawati la jinsia kujielezea.Baadae wanasema alibadili msimamo na akasema hatati tena kunifungulia kesi anachotaka ni kuchukua vitu vyake na mimi nichukue nyangu tumalizane.
Baada ya pale akaniambia na yeye amenipigia simu kunisikiliza na kuchukua maelezo kwangu pia. Basi nami nikamweleza whole situation ilivyokuwa jamaa nikamwambia yote niliyomwelezea amuulize then atagundua ukweli. Baada ya hapo Akanipa pole kwa yote na kunipatia ushauri personal ni kipi cha kufanya nikaupokea akaahidi atampigia simu kumuita kwa ajili ya maelezo zaidi na kumaliza huu utata.
kesho yake nikampigia Afande simu kumuuliza walipofikia akaniambia alimcheki lakini hakumpata hewani akamuachia ujumbe wa kurudi kituoni na akaahidi chochote kitakachoendelea atanijulisha.
Tangu Siku hiyo mpaka Leo hamna feedback yoyote nimepata toka kwao. Kikubwa nimekua mtu wa maombi sana na kumwomba MUNGU wangu anivushe kwenye hili na kuruhusu amani yake pekee ndio iamue nafsini mwangu.Na Nauhakika kwenye Hili atanipigania na nitalivuka kwa ushindi mkubwa. Nimewaza nimrudishie tu funguo na nikae kimya kusubiri Mungu aamue! Na Siwezi kuwa wa kwanza kushika simu kumtafuta. Naomba Ushauri wa ziada kama upo juu ya hili linaloendelea sasa!!...
Halafu kwa sasa hivi akili yako haipo sawa kabisa. Kwa sasa moyo ndio unaokuongoza. Nadhani kila ukifumba macho unamuona anavyovutia na umbo lake akiwa uchi, unayaona makalio yake yanavyovutia, kisha unapiga picha kuna jamaa mwingine anapendwa kuliko wewe na anayashika hayo makalio kadri anavyojisikia, ...hicho ndio kinakuumiza jomba. Okay fanya hivi jikaze kama miezi miwili hivi bila kumtafuta. Nina uhakika yeye na huyo jamaa hawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, wataachana tu. Baada ya miezi miwili mtafute kupima upepo, ukikuta bado yupo na jamaa basi jiambie nafsini mwako kuwa huyo sio wako tena, na uweke nadhiri ya kuachana naye. Ila ukimkuta washamwagana na jamaa basi mrudie ili usiendelee kuumia. Huyo demu unampenda mpaka basi hivyo wewe ufuate moyo wako baada ya hiyo miezi 2 provided hayuko na jamaa.
Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua mpaka sasa! Nimejitoa kwa mpenzi wangu nimegundua haya. Je, nifanyeje?
Baada ya kupost uzi ule siku ile ya jumanne mchana 12/1 nakumbuka niliamua kuondoka Jioni yake kuelekea Dar bila kutoa taarifa yoyote kwa mama mtoto wangu! niliondoka Arusha Baada ya kutoka ofisini na kukamilisha taratibu za ruhusa mnamo saa 10 Jioni kuelekea Dar. Nikasafiri usiku kucha kwa private nikiwa na lengo la kufika Dar kabla hakujapambazuka kwa ajili ya kutimiza lengo la ambush!
Safari ilikua Poa Na Mungu Ila Baada Ya Kupita Bagamoyo Mwendo Kama Wa Saa 11 Alfajiri Tulipata Changamoto Kidogo kwenye Gari ambayo ilitubidi tuchelewe kidogo kwenye kuitatuta mpaka kunaanza kupambazuka mwendo wa saa 12 kasoro tukawa tumefanikiwa kutatua tatizo. Tukamalizia Safari ambapo mpaka saa 12 na nusu asubuhi nilikua nishafika Eneo La tukio.
Cha Kwanza Wakati nafika sikuingia ndani ya Geti moja kwa moja ikabidi nipite mpaka nyuma ya dirisha kuhakiki kama kuna chochote nitapata. Nilipoona kimya kwa kuwa Geti lilikuwa wazi kwa mda huo nadhani kwa sababu watu walikua washaanza kutoka kuelekea makazini nikaingia Ndani Moja Kwa Moja!
Nikaenda Moja Kwa Moja Mpaka Kwenye Mlango Nikastuka baada ya kuona malapa ya kiume mlangoni! Niilipogeuka kuangalia kwenye kamba nikaona kuna shati la kiume limefuliwa na kuanikwa sambamba na vest white. Moyo Ukaanza Kunienda Mbio Nikahisi Naanza Kukosa Nguvu. Nikapiga Moyo Konde Nikagonga Mlango,Mara ya kwanza,ya pili,ya tatu nikasikia kuna mtu kama Kagusa kitasa cha katoka chumbani na mlango kwa hisia za mbali kama ulifunguliwa akatoka mtu akatulia sebleni pale kwa mda kukawa kimya. Nikagonga tena kama mara 3,Kimya.
Nikapata idea baada ya kuona moja ya dirisha upande wa chumbani (Madirisha ya alminium ya kuslide) Liko wazi Nikaenda mpaka pale kwenye dirisha nikaingiza mkono kusogeza pazia ili niweze kuona ndani chumbani.
Baada ya pazia kunipisha nikawaona watu wawili ndani (Mwanamke wangu na Jamaa) Wameshikwa na kama bumbuwazi wakiwa kama wanajadili wafungue mlango ama lah! Baada ya kuniona jamaa panic ikazidi nikaanza kumshurutisha afungue mlango niingie,jamaa nae akawa ameanza kama kumsihi ''Nenda Tu Kamfungulie''.
Baada Ya argument za mda mchache alikuja mpaka sebuleni na kunifungulia mlango nikaingia moja kwa moja mpaka ndani na kuanza kugomba huku nikiwashurutisha watoke. Nilipandwa na hasira na niliumia sana ila nilimwomba Mungu anipe uvumilivu nisije fanya kitu chenye majuto mda huo. Nikafanikiwa kuwashurutisha wakatoka bila kutokea kwa ugomvi mkubwa zaidi. Baada ya kutoka nikakaa Sebuleni kwa mda kama wa lisaa lizima nikiwaza cha kufanya. Baadae nikaamua nitafunga nyumba na kurudi zangu Arusha.
Nikapumzika siku nzima ndani nikiwa na mawazo na nikiwa nimeumia na kuugua kuliko kawaida, nilichokumbuka ni kupiga magoti kuomba na kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea. Baadae jioni nikatafuta fundi wa kuchomelea grill akanisaidia kutengeneza mlango wa nje uliokuwa umechomoka,Nikanunua Kofuli la lile grill,Asubuh na mapema siku inayofuata Nikafunga Nyumba nikapanda Basi Kurudi Arusha.
Mpaka Sasa niko Arusha Sijawahi kumpigia simu wala kuwasiliana nae kwa chochote Tangu Nitoke Huko Last Wednesday,Ila Siku ya Alhamisi last week nilipokea simu toka kituo kimoja cha police Dar wakaniambia kuna mwanamke ameenda kupeleka malalamiko kwamba amepigwa na anataka kufungua mashtaka. Kulingana na maelezo Afande anasema baada ya kumhoji maswali kwa kugundua kwamba ni kesi za kimahusiano ambayo walimshauri aende kwenye dawati la jinsia kujielezea.Baadae wanasema alibadili msimamo na akasema hatati tena kunifungulia kesi anachotaka ni kuchukua vitu vyake na mimi nichukue nyangu tumalizane.
Baada ya pale akaniambia na yeye amenipigia simu kunisikiliza na kuchukua maelezo kwangu pia. Basi nami nikamweleza whole situation ilivyokuwa jamaa nikamwambia yote niliyomwelezea amuulize then atagundua ukweli. Baada ya hapo Akanipa pole kwa yote na kunipatia ushauri personal ni kipi cha kufanya nikaupokea akaahidi atampigia simu kumuita kwa ajili ya maelezo zaidi na kumaliza huu utata.
kesho yake nikampigia Afande simu kumuuliza walipofikia akaniambia alimcheki lakini hakumpata hewani akamuachia ujumbe wa kurudi kituoni na akaahidi chochote kitakachoendelea atanijulisha.
Tangu Siku hiyo mpaka Leo hamna feedback yoyote nimepata toka kwao. Kikubwa nimekua mtu wa maombi sana na kumwomba MUNGU wangu anivushe kwenye hili na kuruhusu amani yake pekee ndio iamue nafsini mwangu.Na Nauhakika kwenye Hili atanipigania na nitalivuka kwa ushindi mkubwa. Nimewaza nimrudishie tu funguo na nikae kimya kusubiri Mungu aamue! Na Siwezi kuwa wa kwanza kushika simu kumtafuta. Naomba Ushauri wa ziada kama upo juu ya hili linaloendelea sasa!!...
Kama hujawahi fumania wala kuona txt zozote za mpnz wako kusifiwa ni wazi kwamba huwa humchunguzi sababu huwezi kuwa toka umeanza mahusiano mademu zako wanadate na wewe tu nevaNajiulizaga sana hivi siku nikimfumania wife sijui itakuwaje
Mkuu, jamaa anaumia na nina uhakika hapati usingizi since hili sekeseke lilipomkuta. Kama vipi avute muda tu then wayajenge na mzazi mwenzake ili kuirejesha furaha yake. Unadhani kipi bora aendelee kuteseka siku zote au aangalie namna ya kuwa na huyo anayeutesa moyo wake?
MmhIlinitokea mimi yani sio nimeadithiwa ni demu niliamua kumpangia sehemu baada ya kuwa nimemuelewa ili ikiwezekana tuanze maisha nilimpangia ili awe karibu na eneo la kazi so nikanunua kitanda na vitu vingine kiukweli nilikuwa kama nimelogwa hata sikuelewa ila ukimpenda mwanamke unajikuta tu unamhudumia hasa kama una vihelaa... kiukweli ulipita mwezi nikaanza kuhisi ananizunguka so siku hiyo niksahtukiza kwenda pale bila kumwambia nikamkuta nachat busy sana nkaomba akanifatie soda si ndo akaacha simu aisee nkakuta msg hizo anampanga jamaa mida ya jioni aje tu me sio mume wake aisee nikajizuiaa sikumuuliza kitu... aliporud nikaaga nimeondoka ila mida flani nikarudi kutega kweli kijamaa kilikujaa ila hakukaa sana so sijui alipiga cha jogoo au vipii kesho yake asubuhi nikamwambia nahitaji funguo za chumba nadhani alihisi nimejua so kuja nkakuta kafunga kaweka chini ya ua sikumtafuta ila jioni imefika ndo hana pa kulala na jamaa ake kumbe kinyozi tu anaishi kwa bro ake ndo akajua ameyavurundaa π π π kiufupi aliomba sana msamaha akapiga simu sana hadi jamaa ake aliniomba sama nimsamehe maana hawajafanya chochote kibayaa kiufupi niliamua kuchukua vitu nkamwambia jamaa akilipwa kodi atanirudishia kiasi toka siku hiyoo nikajifunza kuwa MWANAMKE HATHAMINIKI HATA UFANYAJE so usijipe stress kama akizingua na wew zinguaa usimbembeleze