Mrejesho Interview ya NMB

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,285
Reaction score
13,720
Assessment Test ilikua Online pale NMB academy GEPF tower-Victoria ilikua fresh tuu lakini si kwa Upande wangu ngoja nikomae kwingine.

Verbal test Maswali 30 halafu unasoma Comprehension Muda Dakika 17. Mi najiona nimeshakua Mzee kumaliza hayo Maswali.


Numerical Test.
Maswali 18 ya hesabu muda ni dakika 17 here I felt I am too old again to finish the race.


MY TAKE SITAENDA KUFANYA INTERVIEW TENA NMB.
 
Mkuu wewe si ndio huwa bingwa wa kuwakatisha tamaa vijana wa kule kwenye thread ya JKT hahahah! Pole sana ndugu yangu sasa fanya maamuzi magumu ya kujiajiri
 
Mkuu wewe si ndio huwa bingwa wa kuwakatisha tamaa vijana wa kule kwenye thread ya JKT hahahah! Pole sana ndugu yangu sasa fanya maamuzi magumu ya kujiajiri
Kuwa makini Mimi sijamaliza mwaka Jana au Juzi na Pia sina umri wa kujiunga na JKT just career shift na nimehudhuria hiyo interview......hivyo ndo huwa ilivyo kwa Career nyingine tofauti na majeshi ni Mara ya tatu nahama.
 
Kuwa makini Mimi sijamaliza mwaka Jana au Juzi na Pia sina umri wa kujiunga na JKT just career shift na nimehudhuria hiyo interview......hivyo ndo huwa ilivyo kwa Career nyingine tofauti na majeshi ni Mara ya tatu nahama.
Kilichonifurahisha ni hayo majuto yakoo
 
upo kitheory eeh
 
Hapo labda fresh graduates ndo wanaweza kuhimili hiyo interview. Bado hawajasahau sana calculations, siyo wewe Mzee mwenzangu.
 
Ungeniomba ushauri mapema,nicngekushaur uende kufanya interview nmb,ni moja ya taasisi zenye upendeleo sana ktk ajira.
 
Ungeniomba ushauri mapema,nicngekushaur uende kufanya interview nmb,ni moja ya taasisi zenye upendeleo sana ktk ajira.
Lakini sasa hivi naona kama wamebadilisha utaratibu Interview hazipigwi kwenye Zone zinapigwa headquarter.
 
Sijaelewa pale walikuwa wanapima...nini kwa maana...Hata uwe fresh from school huwez solve maswali 18 ya hesabu kwa dakika 14...halafu maswali yenyewe vigongo...
 
Ila nadhani huu mpango ni mzuri unasaidia kuondoa bias....sema type of questions na jinsi wanavyoendesha zoez...kuna mapungufu..kidogo...
 
hizi nafasi za kazi zinatangazwaga wapi jaman
 
Mmmh! Eeh! Mungu tusaidie kwenye hizi ajira! na atakayejaribu kufanya mpango wa kumpitisha ndugu,,,ambaye hajapaform Vzr limkute jambo litakalowafunza wengine! Amina
 
pole sana mkuu
 
Pole sana Mkuu, ukiona hivyo ujue hawahitaji mtu hapo, wameamua kuwaacha kwa mtindo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…