Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,418
- 32,516
Nashukuru sana gari langu limepona
Changamoto ni chache chache tu zimebaki ilikuwa na tatizo la check engine kuwaka nguvu ikawa haina nikapata fundi amerekebisha now nakula misele tu japo hela imenitoka kidogo mm siyo mtaalamu wa spare za magari ila aliniambia sensor imekufa,plug zikabadilishwa, oil pump sijui pump gani tena ilikufa na vingine vidogo vidogo sivijui
Nashukuru wana JF niliandika uzi humu nikapata washauri wengine walini pm nikapata ushauri wao asanteni sana now nakula misele tu kitaa
Changamoto ni chache chache tu zimebaki ilikuwa na tatizo la check engine kuwaka nguvu ikawa haina nikapata fundi amerekebisha now nakula misele tu japo hela imenitoka kidogo mm siyo mtaalamu wa spare za magari ila aliniambia sensor imekufa,plug zikabadilishwa, oil pump sijui pump gani tena ilikufa na vingine vidogo vidogo sivijui
Nashukuru wana JF niliandika uzi humu nikapata washauri wengine walini pm nikapata ushauri wao asanteni sana now nakula misele tu kitaa