Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Yaani unakuja jf kuuliza ukimbilie wapi?, tukikuita hazikutoshi utalalamika kuwa umetukanwa?, mbona mnataka kuifanya jf idharaurike?, aghrrrrrr!!!!
Akija mwambie uko kwenye siku zako, atakuacha na atasepa, kwakuwa umesema hajawahi kutana na mwanaume ataamini kuwa wanaume nao wanakuwaga kwenye siku zao. Chukua pedi jiwekee mbele kwenye mboo, kisha akija jifanye unamuonyesha akiona pedi tu ataamini kisha atasepaBaada ya kuja kuomba ushauri huku kuhusu dada na bikra yake,kumbe yupo humu na ameona uzi wangu ,muda si mrefu nimeongea nae kaniambia kwa kuwa nimemweka hadharani leo atakuja home kwangu nimtoe kilazima ,,
Nikimbilie wapi au niende club?
Subiri na hii atasoma na atakupa majibuBaada ya kuja kuomba ushauri huku kuhusu dada na bikra yake,kumbe yupo humu na ameona uzi wangu ,muda si mrefu nimeongea nae kaniambia kwa kuwa nimemweka hadharani leo atakuja home kwangu nimtoe kilazima ,,
Nikimbilie wapi au niende club?
Heeeee akatoe taarifa anataka kubakwa mana yeye bado mtotoKimbilia kituo cha polisi
Huu sasa ni uongo wa hali ya juu.Baada ya kuja kuomba ushauri huku kuhusu dada na bikra yake,kumbe yupo humu na ameona uzi wangu ,muda si mrefu nimeongea nae kaniambia kwa kuwa nimemweka hadharani leo atakuja home kwangu nimtoe kilazima ,,
Nikimbilie wapi au niende club?
Mleta mada IQ yake ni <20 (profound MR)
na hapa magufuli akisema atangaze kuhakiki IQ za wabongo mtasema ni dikteta....
Ni coincidence tu ama ?na hapa magufuli akisema atangaze kuhakiki IQ za wabongo mtasema ni dikteta....




