Mrejesho biashara ya madini 'third season'

Huku wingi wa germstones utashangaa.unaweza ukapata alexandrite ukaidharau gold maana bei ya germstones ni juu zaidi ya gold. Though wanunuzi wa germstones ni wengi sana pia hasa wa srilanka
Tatizo la biashara ya Gemstones ni kwenye ununuzi wake hasa hasa kwa hawa Wasrilanka, hawana bei maalum wala vipimo = ni suala la kukadiria tu. Unaweza leo ukawa na Gemstone Y ya uzito wa gram 2 akanunua kwa bei X lakini ukileta baada ya muda fulani na aina ile ile na labda bora nzuri zaidi, anaweza kununua kwa bei ya X-1! Hapo ndio kwenye ngoma, si sawa na dhahabu hasa baada ya kuwa na masoko yake ambapo kila kitu ni WAZI! Nadhani Serikali inabidi pia iingie na kuingilia hii biashara ya Gemstones. Kuna pesa sana nako huko!
 
Tatizo la biashara ya Gemstones ni kwenye ununuzi wake hasa hasa kwa hawa Wasrilanka, hawana bei maalum wala vipimo = ni suala la kukadiria tu. Unaweza leo ukawa na Gemstone Y ya uzito wa gram 2 akanunua kwa bei X lakini ukileta baada ya muda fulani na aina ile ile na labda bora nzuri zaidi, anaweza kununua kwa bei ya X-1! Hapo ndio kwenye ngoma, si sawa na dhahabu hasa baada ya kuwa na masoko yake ambapo kila kitu ni WAZI! Nadhani Serikali inabidi pia iingie na kuingilia hii biashara ya Gemstones. Kuna pesa sana nako huko!
Kuna exporter/trader 1 dsm ananuaga madini yangu kwa bei tamu sana.ananiletea wateja kutoka us na wahapahapa bongo madealer napatana nao kupitia yeye then namuachia yake ya ofisi.ivo tu.yuko poa sana

Yaani mimi ninachoangalia ninapouza madini yangu nataka bei ya soko staki janja janja dalali aniletee wateja namlipa mimi
 
Kuna exporter/trader 1 dsm ananuaga madini yangu kwa bei tamu sana.ananiletea wateja kutoka us na wahapahapa bongo madealer napatana nao kupitia yeye then namuachia yake ya ofisi.ivo tu.yuko poa sana

Yaani mimi ninachoangalia ninapouza madini yangu nataka bei ya soko staki janja janja dalali aniletee wateja namlipa mimi
Sawa, lakini ni wachimba wadogo wa gemstones wangapi wenye fursa kama yako!? Ndio maana naitaka Serikali iingie na huko na ifanye kama ilivyofanya kwenye dhahabu na Tanzanite ili wote tufaidike.
 
Salam zangu na zisambae kwenu nyote. Matumaini yangu mu buheri wa afya tele, na hata walioteteleka mwenyezi Mungu awajaalie wepesi wa kupona haraka.

Ahadi ni deni. Nami tangu nimeanza mbio zangu za kibiashara kwenye madini ya Dhahabu nimekuwa na tendency ya kuripoti wapi nimefikia kila baada ya miezi sita. Niliwahi kuja na post ya mrejesho first season Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

baadae nikaleta second seoson Mrejesho biashara ya madini ya dhahabu second season

Na sasa naileta 'third season'. Labda nianze kwa kusema kuwa watu wengi wananifuata pm kutaka kuonana na Mimi. To be honest, siko tayari kuonana na mtu ila kama utahitaji msaada mwingine wa maelekezo nitakujibu. Nafanya hivi kwa sababu hatujuani, nami sitaki kumulikwa kihivyo.

Baada ya kununua Karasha mwezi may 2021, nikitumia takribani 11mil, nilibakiwa na mtaji wa kama 12 millions. Kwa ukanda wetu huku huwa tunasaga mawe bure, hivyo ni kuhudumia tu yaani unanunua diesel mwanzo mwisho hela ukitoa mfukoni.

Kazi ya kusaga mawe nilianza kwenye tar 10 may hivyo Sasa nimekamilisha miezi sita. Nilipata sehemu ya kuchimba mawe kwenye mgodi wa rafiki yangu. Huwa naajiri watu nawalipa kwa mwezi wanafanya kazi ya kutoa mawe baada ya kulipua. Mawe hayo huwa nagawana na mwenye mgodi yeye akichukua 40%, Mimi nachukua 60% ya mawe. Kisha huwa nayabeba na kwenda kuyasaga karashani kwangu.

Saivi rudio limekuwa kubwa nakadiria gari za tani kumi 20. Sampo nikipima maabara inasoma 8ppm na zaidi. Mpaka saivi natoa faida kwenye biashara ya Dhahabu nahudumia Karasha, na Sasa nataka mlima uendelee kukua hadi mwakani mwezi may.

Changamoto ni pesa ya mtaji imezidiwa na matumizi ya Karasha kwani inapungua siku hadi siku. Kwa hiyo nitapambana kwa namna yoyote ili hadi kufikia mwakani mwezi wa sita nichenjue mlima.... Na hapo nikipata angalau kilo mbili za Dhahabu, nitapambania lessen ya u dealer. Na hapo nitaianza rasmi safari ya kuusaka ubilionea.

Vijana wenzangu wakike na wakiume ni wakati sahihi sasa wa kuamua kuzifuata ndoto zako. Wengi tunashindwa kuingia kwenye fulsa za biashara kwa kuamini kuwa hatuna mitaji. Nikwambie tu mtaji ni kitu kidogo sana kwenye biashara. Unaweza uwe na mtaji na ushindwe kufanya biashara ikakua. Hivyo kitu kikubwa kwenye biashara lazima uwe na confidence na utashi wa kuifanya hiyo biashara.

Nitoe mfano wa binti mmoja nimemfahamu anaitwa Diana (jina la uongo). Alikuwa anafanya biashara ya kujumua pombe kali anapeleka migodini.

Alikuwa anafuata mpakani Tunduma anakuja kuuza Chunya. Alianza na mtaji wa laki na nusu tokea 2019. Diana alifanya biashara hiyo kwa miezi saba akawa na hela kama laki 9. Akaamua kuongeza vitenge kwenye kufunga mzigo. Bahati mbaya siku moja akiwa kwenye usafiri gari ilipata ajali akavunjika mguu. Alitumia pesa karibia yote aliyokusanya kujiuguza.

Mpaka anapona alikuwa amebakiwa na kama laki mbili tu. Mguu ulipona vizuri. Alichofanya Diana aliamua kubadilisha biashara, alikodi fremu akafungua genge la mbogamboga. Amefanya biashara hii kwa mwaka, ikamlipa maradufu.

February ya mwaka huu alifungua grocery karibu na pale anapouzia mbogamboga. Bia ambazo zinauzwa 2500 bar yeye anauza buku jero. Savi mwezi November ameongeza duka la mitumba hapohapo karibu.

Nimemtolea mfano Diana kuonyesha ni jinsi gani unaweza kuwa na ndoto kubwa ya kumiliki benki, ukaanza na sh elfu hamsini kuitekeleza ndoto yako.

Panapo majaaliwa tukutane tena June 2022 hapahapa kupeana update.

Wakuu nauliza vipi nafasi ya mafundi mitambo katika kutengeneza mashine za uchimbaji na uchenjuaji hasa kwa anae taka kujiajiri mwenyewe au kuajiliwa nauliza kwakuwa sijawahi fika katika mgodi wowote.
 
KARASHA ni lile mashini la kusaga mawe yaani CRUSHER! Au siyo kama nimekosea nisahihisheni! KARASHA ni nickname ya CRUSHER huko migodini!

Haya kazi yake ni kusaga mawe "yenye dhahabu". Kwa nini ni ghali sana huko Chunya, nadhani Kahama na hata Geita yanatengenezwa kwa kati 5 na 8mi!? Halafu, kwa hili, nisameheni sana, sijui kama hicho kipimo cha ppm, uliwahi kukitaja kwenye 1st au 2nd sessions!? Hicho "ppm" ni kipimo cha nini - ni cha wingi wa dhahabu kwa kiroba au nini? Saidia Msomi wangu.

Masalakulangwa ule mwala. Mihayo wayombile iko getegete..
 
KARASHA ni lile mashini la kusaga mawe yaani CRUSHER! Au siyo kama nimekosea nisahihisheni! KARASHA ni nickname ya CRUSHER huko migodini!

Haya kazi yake ni kusaga mawe "yenye dhahabu". Kwa nini ni ghali sana huko Chunya, nadhani Kahama na hata Geita yanatengenezwa kwa kati 5 na 8mi!? Halafu, kwa hili, nisameheni sana, sijui kama hicho kipimo cha ppm, uliwahi kukitaja kwenye 1st au 2nd sessions!? Hicho "ppm" ni kipimo cha nini - ni cha wingi wa dhahabu kwa kiroba au nini? Saidia Msomi wangu.
Ppm ni parts per million. Mfano 6ppm ni sawa na kusema 6 gramu za Dhahabu kwa tani moja ya mchanga au sinate. Kwahiyo ni sawa na kusema kuna gramu 6 za Dhahabu kwenye gram milioni moja (tani 1) za mchanga
 
Ppm ni parts per million. Mfano 6ppm ni sawa na kusema 6 gramu za Dhahabu kwa tani moja ya mchanga au sinate. Kwahiyo ni sawa na kusema kuna gramu 6 za Dhahabu kwenye gram milioni moja (tani 1) za mchanga
Asante sana Msomi wangu kwa elimu hii ingawa imechukua muda kidogo kujibu, nadhani ni kwa wingi wa shughuli huko Makongorosi. Kongore for everything and keep it up. By the way bei ya dhahabu sokoni, ukilinganisha na bei ya machimboni, inatia moyo na hamu ya kufanya biashara hii. Tutawasiliana Msomi wangu.
 
Salam zangu na zisambae kwenu nyote. Matumaini yangu mu buheri wa afya tele, na hata walioteteleka mwenyezi Mungu awajaalie wepesi wa kupona haraka.

Ahadi ni deni. Nami tangu nimeanza mbio zangu za kibiashara kwenye madini ya Dhahabu nimekuwa na tendency ya kuripoti wapi nimefikia kila baada ya miezi sita. Niliwahi kuja na post ya mrejesho first season Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

baadae nikaleta second seoson Mrejesho biashara ya madini ya dhahabu second season

Na sasa naileta 'third season'. Labda nianze kwa kusema kuwa watu wengi wananifuata pm kutaka kuonana na Mimi. To be honest, siko tayari kuonana na mtu ila kama utahitaji msaada mwingine wa maelekezo nitakujibu. Nafanya hivi kwa sababu hatujuani, nami sitaki kumulikwa kihivyo.

Baada ya kununua Karasha mwezi may 2021, nikitumia takribani 11mil, nilibakiwa na mtaji wa kama 12 millions. Kwa ukanda wetu huku huwa tunasaga mawe bure, hivyo ni kuhudumia tu yaani unanunua diesel mwanzo mwisho hela ukitoa mfukoni.

Kazi ya kusaga mawe nilianza kwenye tar 10 may hivyo Sasa nimekamilisha miezi sita. Nilipata sehemu ya kuchimba mawe kwenye mgodi wa rafiki yangu. Huwa naajiri watu nawalipa kwa mwezi wanafanya kazi ya kutoa mawe baada ya kulipua. Mawe hayo huwa nagawana na mwenye mgodi yeye akichukua 40%, Mimi nachukua 60% ya mawe. Kisha huwa nayabeba na kwenda kuyasaga karashani kwangu.

Saivi rudio limekuwa kubwa nakadiria gari za tani kumi 20. Sampo nikipima maabara inasoma 8ppm na zaidi. Mpaka saivi natoa faida kwenye biashara ya Dhahabu nahudumia Karasha, na Sasa nataka mlima uendelee kukua hadi mwakani mwezi may.

Changamoto ni pesa ya mtaji imezidiwa na matumizi ya Karasha kwani inapungua siku hadi siku. Kwa hiyo nitapambana kwa namna yoyote ili hadi kufikia mwakani mwezi wa sita nichenjue mlima.... Na hapo nikipata angalau kilo mbili za Dhahabu, nitapambania lessen ya u dealer. Na hapo nitaianza rasmi safari ya kuusaka ubilionea.

Vijana wenzangu wakike na wakiume ni wakati sahihi sasa wa kuamua kuzifuata ndoto zako. Wengi tunashindwa kuingia kwenye fulsa za biashara kwa kuamini kuwa hatuna mitaji. Nikwambie tu mtaji ni kitu kidogo sana kwenye biashara. Unaweza uwe na mtaji na ushindwe kufanya biashara ikakua. Hivyo kitu kikubwa kwenye biashara lazima uwe na confidence na utashi wa kuifanya hiyo biashara.

Nitoe mfano wa binti mmoja nimemfahamu anaitwa Diana (jina la uongo). Alikuwa anafanya biashara ya kujumua pombe kali anapeleka migodini.

Alikuwa anafuata mpakani Tunduma anakuja kuuza Chunya. Alianza na mtaji wa laki na nusu tokea 2019. Diana alifanya biashara hiyo kwa miezi saba akawa na hela kama laki 9. Akaamua kuongeza vitenge kwenye kufunga mzigo. Bahati mbaya siku moja akiwa kwenye usafiri gari ilipata ajali akavunjika mguu. Alitumia pesa karibia yote aliyokusanya kujiuguza.

Mpaka anapona alikuwa amebakiwa na kama laki mbili tu. Mguu ulipona vizuri. Alichofanya Diana aliamua kubadilisha biashara, alikodi fremu akafungua genge la mbogamboga. Amefanya biashara hii kwa mwaka, ikamlipa maradufu.

February ya mwaka huu alifungua grocery karibu na pale anapouzia mbogamboga. Bia ambazo zinauzwa 2500 bar yeye anauza buku jero. Savi mwezi November ameongeza duka la mitumba hapohapo karibu.

Nimemtolea mfano Diana kuonyesha ni jinsi gani unaweza kuwa na ndoto kubwa ya kumiliki benki, ukaanza na sh elfu hamsini kuitekeleza ndoto yako.

Panapo majaaliwa tukutane tena June 2022 hapahapa kupeana update.
Asante sana kaka nmefuatilia uzi huu vizuri sana naomba nikushukuru tena na tena umenifungua macho na umenipa nguvu ya kuwashinda wakatishaji tamaa.
 
Tatizo la biashara ya Gemstones ni kwenye ununuzi wake hasa hasa kwa hawa Wasrilanka, hawana bei maalum wala vipimo = ni suala la kukadiria tu. Unaweza leo ukawa na Gemstone Y ya uzito wa gram 2 akanunua kwa bei X lakini ukileta baada ya muda fulani na aina ile ile na labda bora nzuri zaidi, anaweza kununua kwa bei ya X-1! Hapo ndio kwenye ngoma, si sawa na dhahabu hasa baada ya kuwa na masoko yake ambapo kila kitu ni WAZI! Nadhani Serikali inabidi pia iingie na kuingilia hii biashara ya Gemstones. Kuna pesa sana nako huko!
Mkuu hivivhuu uchimbaji wa gemstone mnatumia nini kugundua mwamba wake
 
Salam zangu na zisambae kwenu nyote. Matumaini yangu mu buheri wa afya tele, na hata walioteteleka mwenyezi Mungu awajaalie wepesi wa kupona haraka.

Ahadi ni deni. Nami tangu nimeanza mbio zangu za kibiashara kwenye madini ya Dhahabu nimekuwa na tendency ya kuripoti wapi nimefikia kila baada ya miezi sita. Niliwahi kuja na post ya mrejesho first season Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

baadae nikaleta second seoson Mrejesho biashara ya madini ya dhahabu second season

Na sasa naileta 'third season'. Labda nianze kwa kusema kuwa watu wengi wananifuata pm kutaka kuonana na Mimi. To be honest, siko tayari kuonana na mtu ila kama utahitaji msaada mwingine wa maelekezo nitakujibu. Nafanya hivi kwa sababu hatujuani, nami sitaki kumulikwa kihivyo.

Baada ya kununua Karasha mwezi may 2021, nikitumia takribani 11mil, nilibakiwa na mtaji wa kama 12 millions. Kwa ukanda wetu huku huwa tunasaga mawe bure, hivyo ni kuhudumia tu yaani unanunua diesel mwanzo mwisho hela ukitoa mfukoni.

Kazi ya kusaga mawe nilianza kwenye tar 10 may hivyo Sasa nimekamilisha miezi sita. Nilipata sehemu ya kuchimba mawe kwenye mgodi wa rafiki yangu. Huwa naajiri watu nawalipa kwa mwezi wanafanya kazi ya kutoa mawe baada ya kulipua. Mawe hayo huwa nagawana na mwenye mgodi yeye akichukua 40%, Mimi nachukua 60% ya mawe. Kisha huwa nayabeba na kwenda kuyasaga karashani kwangu.

Saivi rudio limekuwa kubwa nakadiria gari za tani kumi 20. Sampo nikipima maabara inasoma 8ppm na zaidi. Mpaka saivi natoa faida kwenye biashara ya Dhahabu nahudumia Karasha, na Sasa nataka mlima uendelee kukua hadi mwakani mwezi may.

Changamoto ni pesa ya mtaji imezidiwa na matumizi ya Karasha kwani inapungua siku hadi siku. Kwa hiyo nitapambana kwa namna yoyote ili hadi kufikia mwakani mwezi wa sita nichenjue mlima.... Na hapo nikipata angalau kilo mbili za Dhahabu, nitapambania lessen ya u dealer. Na hapo nitaianza rasmi safari ya kuusaka ubilionea.

Vijana wenzangu wakike na wakiume ni wakati sahihi sasa wa kuamua kuzifuata ndoto zako. Wengi tunashindwa kuingia kwenye fulsa za biashara kwa kuamini kuwa hatuna mitaji. Nikwambie tu mtaji ni kitu kidogo sana kwenye biashara. Unaweza uwe na mtaji na ushindwe kufanya biashara ikakua. Hivyo kitu kikubwa kwenye biashara lazima uwe na confidence na utashi wa kuifanya hiyo biashara.

Nitoe mfano wa binti mmoja nimemfahamu anaitwa Diana (jina la uongo). Alikuwa anafanya biashara ya kujumua pombe kali anapeleka migodini.

Alikuwa anafuata mpakani Tunduma anakuja kuuza Chunya. Alianza na mtaji wa laki na nusu tokea 2019. Diana alifanya biashara hiyo kwa miezi saba akawa na hela kama laki 9. Akaamua kuongeza vitenge kwenye kufunga mzigo. Bahati mbaya siku moja akiwa kwenye usafiri gari ilipata ajali akavunjika mguu. Alitumia pesa karibia yote aliyokusanya kujiuguza.

Mpaka anapona alikuwa amebakiwa na kama laki mbili tu. Mguu ulipona vizuri. Alichofanya Diana aliamua kubadilisha biashara, alikodi fremu akafungua genge la mbogamboga. Amefanya biashara hii kwa mwaka, ikamlipa maradufu.

February ya mwaka huu alifungua grocery karibu na pale anapouzia mbogamboga. Bia ambazo zinauzwa 2500 bar yeye anauza buku jero. Savi mwezi November ameongeza duka la mitumba hapohapo karibu.

Nimemtolea mfano Diana kuonyesha ni jinsi gani unaweza kuwa na ndoto kubwa ya kumiliki benki, ukaanza na sh elfu hamsini kuitekeleza ndoto yako.

Panapo majaaliwa tukutane tena June 2022 hapahapa kupeana update.
Congratulations and keep it up
 
Mashine zipi wanatumia kupimia au n hizihizi detectors zinazotumika kupimia dhahabu kabla ya uchimbaji
Kuna mashine za ku - detect vito au gemstones; hizi ni tofauti na za dhahabu! Si unajua dhahabu ni aina ya chuma au metal, lakini gemstones siyo metal! Hivyo mashine zake ni tofauti ila unaweza kukuta kwenye mashine ya ku - detect dhahabu ikawa na setting ya ku - detect vito au gemstones.
 
Kuna mashine za ku - detect vito au gemstones; hizi ni tofauti na za dhahabu! Si unajua dhahabu ni aina ya chuma au metal, lakini gemstones siyo metal! Hivyo mashine zake ni tofauti ila unaweza kukuta kwenye mashine ya ku - detect dhahabu ikawa na setting ya ku - detect vito au gemstones.
Sawa kaka nmekupata uzuri hapo ubarikiwe
Pia nna mashine moja inaitwa fisher gold bug2 inapima 1m deep sjawahi kuitumia ila iko ndani tu vp hii unaeza kuwa na unauelewa nayo
 
Sawa kaka nmekupata uzuri hapo ubarikiwe
Pia nna mashine moja inaitwa fisher gold bug2 inapima 1m deep sjawahi kuitumia ila iko ndani tu vp hii unaeza kuwa na unauelewa nayo
Hapana siijui ila from the name naona kama ni ya ku - detect dhahabu! Kwa nini usiende nayo field - labda Chunya au Geita au Bunda, mkoani Mara, sehemu moja inaitwa KINYAMBWIGA. Huko kuna machimbo ya dhahabu unaweza kui - test huko.
 
Back
Top Bottom