Mrejesho baada ya kunyimwa unyumba kwa mda

Mrejesho baada ya kunyimwa unyumba kwa mda

Nashukuru mliotoa ushauri niliona bora nifate ushauri wa jamaa mmoja anaitwa @kuruzi kwenye reply no 60.

Basi leo usiku nimejifanyisha naota nikiwa naongea mara ya 1 akapuuza mara ya pili nikaota hadi natembea nikatoka chumbani hadi sebleni, akanifata akasema leo unanini siuamke uombe jamani?

Nikaona hii haijatosha nikajilaza tena kwenye saa 11 hivi nikajifanya kuota naota huku namtaja mke wangu na mwanamke mwingine kuwa aniache basi mke wangu kwa hamu ya kujua nachepuka nanani akawa anauliza huyo mwanamke ni wawapi huku naamushwa nijibu bada ya kuamka nikamsogeza haikupita dk 20 kitu kimo.

Hahaaaaa

Pia soma: Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?
Wanaume wamekua watumwa kwa wanawake, na ndio maana wanakufa mapema, huo usiku ndio wa kupumzisha akili, ukiamka kitu cha kwanza unafikiria namna ya kupata pesa na uzeeni utaishije, sasa mchana unakimbizana na pesa, usiku unaota ili upewe pussy, kuna kupona kweli hapo?
 
Nashukuru mliotoa ushauri niliona bora nifate ushauri wa jamaa mmoja anaitwa @kuruzi kwenye reply no 60.

Basi leo usiku nimejifanyisha naota nikiwa naongea mara ya 1 akapuuza mara ya pili nikaota hadi natembea nikatoka chumbani hadi sebleni, akanifata akasema leo unanini siuamke uombe jamani?

Nikaona hii haijatosha nikajilaza tena kwenye saa 11 hivi nikajifanya kuota naota huku namtaja mke wangu na mwanamke mwingine kuwa aniache basi mke wangu kwa hamu ya kujua nachepuka nanani akawa anauliza huyo mwanamke ni wawapi huku naamushwa nijibu bada ya kuamka nikamsogeza haikupita dk 20 kitu kimo.

Hahaaaaa

Pia soma: Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?
Hongera,kwahiyo umepata leo!kama nakuona na uso umechangamka kiasi chake...
 
Nashukuru mliotoa ushauri niliona bora nifate ushauri wa jamaa mmoja anaitwa @kuruzi kwenye reply no 60.

Basi leo usiku nimejifanyisha naota nikiwa naongea mara ya 1 akapuuza mara ya pili nikaota hadi natembea nikatoka chumbani hadi sebleni, akanifata akasema leo unanini siuamke uombe jamani?

Nikaona hii haijatosha nikajilaza tena kwenye saa 11 hivi nikajifanya kuota naota huku namtaja mke wangu na mwanamke mwingine kuwa aniache basi mke wangu kwa hamu ya kujua nachepuka nanani akawa anauliza huyo mwanamke ni wawapi huku naamushwa nijibu bada ya kuamka nikamsogeza haikupita dk 20 kitu kimo.

Hahaaaaa

Pia soma: Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?

CCM ina mitaji ya kutosha tu ndio maana wanaendelea kutawala.
 
Back
Top Bottom