Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 1,068
- 1,491
Daah! Nakumbuka kitambo hicho kidogo nikiwa nimemaliza form six nikiwa na miaka 20. Baada ya kuona elimu ya bongo nimiyenyusho eti nitumie cheti cha form four baada ya kupata div three six. Nilitaka kujiajiri kupitia YouTube kwamba ningekua natengeneza video za 3d animation kupitia blender software zinazohusu physics na ku upload kule YouTube. Hii ni baada ya kupata msukumo kutoka Kwa jamaa mmoja muhindi alikua ana channel inaitwa learning engineering. Vikwazo nilivyopata vimeaniacha unsocial Hadi Leo.