LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
GENTAMYCINE Kajikausha utafikiri uzi haumuhusu... Uzi wako huu mkuu elimu ya kijijini kwenu Bunda inachezewa. Paza sauti
Punguzeni kumsema alikeketwa ,mnamtengenezea hofu mumewe nae Hana Siri pamoja askariNi mtu wa Singida
Ni kwa sababu kazi yao ni kutoa Huduma sawa na viongozi wa dini na wamefunzwa kuwa watiifu kwa kila mamlaka iliyoko juu yao, na wefunzwa nidhamu na utanashati kuliko wafanyakazi wote. Ndo maana muda wote wanaonekana watu dhaifu.Ila mwalimu hata awe profesa ule uoga hauwatoki sijui mkoje yani
Walimu sometimes wamezidi kwakweliHawa watu ni kuwapa fucks , mimi mratibu wangu alileta mambo kama hayo,ooh dogo tulia,sisi ni wakubwa zako,hata sahau, nilimwambia mbele za wakubwa zake dogo mwenyewe na hauna maadili ya kazi wewe,huwezi niita dogo kama huwa una nilisha,kawaite dogo watu wa nyumbani kwako.Hadi leo hii ana niiheshimu sana.
Tatizo letu walimu wengi ni waoga,lakini mimi naamini mpumbavu hujibiwa kipumbavu na mwerevu hujibiwa kiuelevu,kazi kwako mwalimu,mimi sina cha kupoteza
Hawana fujo zozote zile, wakati wa ukuaji hakuna kada niliyokuwa naiheshimu kama hiyoNi kwa sababu kazi yao ni kutoa Huduma sawa na viongozi wa dini na wamefunzwa kuwa watiifu kwa kila mamlaka iliyoko juu yao, na wefunzwa nidhamu na utanashati kuliko wafanyakazi wote. Ndo maana muda wote wanaonekana watu dhaifu.
Ila walimu wa siku hizi ni wa kidijitali, yani ni fujo tupu.
Kweli kabisa hao wa zamani waliheshimika kwa staha zao, hawa vijana wanaoajiliwa kwa sasa yataka moyo.Hawana fujo zozote zile, wakati wa ukuaji hakuna kada niliyokuwa naiheshimu kama hiyo
Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff
Kada ya ualimu ni fitina majungu na uchimvi!Huyu mama Kwa jina maarufu la Tabu ni mke wa askari mmoja pale kituo cha polisi Bunda. Mazingira ya vipi alipewa hiki cheo cha uratibu kata kila mtu huwa anajiuliza,anakosa majibu.
Kiukweli kazi ya kusimamia kundi nyeti kama Walimu inahitajika mtu mwenye busara sana tofauti na makando kando mengine.
Huyu mama kwenye misafara ya mitihani Huwa ni miongoni mwa viongozi wa misafara ya ugawaji mitihani.
Amekuwa akiwatusi walimu na kuwakejeli huku akiwatishia kwamba atawaharibia kazi kwa mwajiri wao.
Pili uwezo wake kwenye presentation ni mdogo sana,hata kujibu hoja za kawaida za walimu kwenye discussion huwa hawezi zaidi ya kuishia kupanic.
Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff ila kwa huyu MEK kutokana na kutokujua kiingereza hata cha kuombea maji amekuwa akipiga mijadala yake myepesi Kwa kiswahili mwanzo mwisho.
Aliyewahi kuwa REO mkoa wa Mara Mr.Sembeye aliwahi kuhoji hadharani vigezo vipi vilitumika kumpa nafasi Ile huyu mama
Tunakuomba Afisa elimu (idara ya elimu sekondari)uondoe hiki kirusi kwenye halmashauri au mpangie majukumu mengine.
She is a specialist of failure...
Well said MkuuREO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.
Walimu sometimes wamezidi kwakweli
MTU Kama afisa elimu kata anakundesha vipi.
Mlipaswa mumkazie Hadi aombe yeye mwenye kusepa Hilo eneo
Acheni uoga was kifala
GoodREO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.
majina mengine huakisi tabia ya mtu.. huyo ni tabu tupuHuyu mama Kwa jina maarufu la Tabu ni mke wa askari mmoja pale kituo cha polisi Bunda. Mazingira ya vipi alipewa hiki cheo cha uratibu kata kila mtu huwa anajiuliza,anakosa majibu.
Kiukweli kazi ya kusimamia kundi nyeti kama Walimu inahitajika mtu mwenye busara sana tofauti na makando kando mengine.
Huyu mama kwenye misafara ya mitihani Huwa ni miongoni mwa viongozi wa misafara ya ugawaji mitihani.
Amekuwa akiwatusi walimu na kuwakejeli huku akiwatishia kwamba atawaharibia kazi kwa mwajiri wao.
Pili uwezo wake kwenye presentation ni mdogo sana,hata kujibu hoja za kawaida za walimu kwenye discussion huwa hawezi zaidi ya kuishia kupanic.
Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff ila kwa huyu MEK kutokana na kutokujua kiingereza hata cha kuombea maji amekuwa akipiga mijadala yake myepesi Kwa kiswahili mwanzo mwisho.
Aliyewahi kuwa REO mkoa wa Mara Mr.Sembeye aliwahi kuhoji hadharani vigezo vipi vilitumika kumpa nafasi Ile huyu mama
Tunakuomba Afisa elimu (idara ya elimu sekondari)uondoe hiki kirusi kwenye halmashauri au mpangie majukumu mengine.
She is a specialist of failure...
Kunafikia na kujikuta umehamishiwa eneo mabonde kiinama huko ,all in all umeongea uzuri sanaREO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.