Mratibu Elimu kata ya Kabarimu wilayani Bunda anadhalilisha Walimu

Ila mwalimu hata awe profesa ule uoga hauwatoki sijui mkoje yani
Ni kwa sababu kazi yao ni kutoa Huduma sawa na viongozi wa dini na wamefunzwa kuwa watiifu kwa kila mamlaka iliyoko juu yao, na wefunzwa nidhamu na utanashati kuliko wafanyakazi wote. Ndo maana muda wote wanaonekana watu dhaifu.

Ila walimu wa siku hizi ni wa kidijitali, yani ni fujo tupu.
 
Hawa watu ni kuwapa fucks , mimi mratibu wangu alileta mambo kama hayo,ooh dogo tulia,sisi ni wakubwa zako,hata sahau, nilimwambia mbele za wakubwa zake dogo mwenyewe na hauna maadili ya kazi wewe,huwezi niita dogo kama huwa una nilisha,kawaite dogo watu wa nyumbani kwako.Hadi leo hii ana niiheshimu sana.

Tatizo letu walimu wengi ni waoga,lakini mimi naamini mpumbavu hujibiwa kipumbavu na mwerevu hujibiwa kiuelevu,kazi kwako mwalimu,mimi sina cha kupoteza
Walimu sometimes wamezidi kwakweli

MTU Kama afisa elimu kata anakundesha vipi.

Mlipaswa mumkazie Hadi aombe yeye mwenye kusepa Hilo eneo

Acheni uoga was kifala
 
Ni kwa sababu kazi yao ni kutoa Huduma sawa na viongozi wa dini na wamefunzwa kuwa watiifu kwa kila mamlaka iliyoko juu yao, na wefunzwa nidhamu na utanashati kuliko wafanyakazi wote. Ndo maana muda wote wanaonekana watu dhaifu.

Ila walimu wa siku hizi ni wa kidijitali, yani ni fujo tupu.
Hawana fujo zozote zile, wakati wa ukuaji hakuna kada niliyokuwa naiheshimu kama hiyo
 
Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff

1697637480651.png
 
Huyu mama Kwa jina maarufu la Tabu ni mke wa askari mmoja pale kituo cha polisi Bunda. Mazingira ya vipi alipewa hiki cheo cha uratibu kata kila mtu huwa anajiuliza,anakosa majibu.

Kiukweli kazi ya kusimamia kundi nyeti kama Walimu inahitajika mtu mwenye busara sana tofauti na makando kando mengine.

Huyu mama kwenye misafara ya mitihani Huwa ni miongoni mwa viongozi wa misafara ya ugawaji mitihani.

Amekuwa akiwatusi walimu na kuwakejeli huku akiwatishia kwamba atawaharibia kazi kwa mwajiri wao.

Pili uwezo wake kwenye presentation ni mdogo sana,hata kujibu hoja za kawaida za walimu kwenye discussion huwa hawezi zaidi ya kuishia kupanic.

Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff ila kwa huyu MEK kutokana na kutokujua kiingereza hata cha kuombea maji amekuwa akipiga mijadala yake myepesi Kwa kiswahili mwanzo mwisho.

Aliyewahi kuwa REO mkoa wa Mara Mr.Sembeye aliwahi kuhoji hadharani vigezo vipi vilitumika kumpa nafasi Ile huyu mama

Tunakuomba Afisa elimu (idara ya elimu sekondari)uondoe hiki kirusi kwenye halmashauri au mpangie majukumu mengine.

She is a specialist of failure...
Kada ya ualimu ni fitina majungu na uchimvi!
 
REO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.
 
Tatizo linaweza kuwa aina ya Walimu.
Viongozi wengi wa Kitanzania hutawaliwa sana na mazingira yao, kama alishawasoma Waalimu wengi akabaini ni ana fulani ya watu anaoweza kuwaburuza au Waalimu wenyewe walimpa nafasi ya kuwaburuza lazima awaburuze tu.
 
REO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.
Well said Mkuu
 
Asante mkuu
Walimu sometimes wamezidi kwakweli

MTU Kama afisa elimu kata anakundesha vipi.

Mlipaswa mumkazie Hadi aombe yeye mwenye kusepa Hilo eneo

Acheni uoga was kifala

REO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.
Good
 
Huyu mama Kwa jina maarufu la Tabu ni mke wa askari mmoja pale kituo cha polisi Bunda. Mazingira ya vipi alipewa hiki cheo cha uratibu kata kila mtu huwa anajiuliza,anakosa majibu.

Kiukweli kazi ya kusimamia kundi nyeti kama Walimu inahitajika mtu mwenye busara sana tofauti na makando kando mengine.

Huyu mama kwenye misafara ya mitihani Huwa ni miongoni mwa viongozi wa misafara ya ugawaji mitihani.

Amekuwa akiwatusi walimu na kuwakejeli huku akiwatishia kwamba atawaharibia kazi kwa mwajiri wao.

Pili uwezo wake kwenye presentation ni mdogo sana,hata kujibu hoja za kawaida za walimu kwenye discussion huwa hawezi zaidi ya kuishia kupanic.

Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff ila kwa huyu MEK kutokana na kutokujua kiingereza hata cha kuombea maji amekuwa akipiga mijadala yake myepesi Kwa kiswahili mwanzo mwisho.

Aliyewahi kuwa REO mkoa wa Mara Mr.Sembeye aliwahi kuhoji hadharani vigezo vipi vilitumika kumpa nafasi Ile huyu mama

Tunakuomba Afisa elimu (idara ya elimu sekondari)uondoe hiki kirusi kwenye halmashauri au mpangie majukumu mengine.

She is a specialist of failure...
majina mengine huakisi tabia ya mtu.. huyo ni tabu tupu
 
REO anahoji wakati ndiye RAS wa elimu ktk mkoa!
Kimantiki ndiye mteuzi.
Pili walimu wanaotishiwa na AEK (Afisaelimu Kata) kwa chochote kile ,hawajitambui kabisaa kabisaaa!
AEK si mamlaka ya Mwalimu sasa anawatishia kwa lipi?
Hana chochote cha kuwafanya. Hata barua ya onyo hana mamlaka ya kumwandikia mwalimu yeyote ktk kata.
Kifupi ni upumbavu wenu walimu kutishiwa na AEK!
Amkeni na someni sheria ya namba 25 ya TSC ya 2015 na kanuni zake za 2016.
Kunafikia na kujikuta umehamishiwa eneo mabonde kiinama huko ,all in all umeongea uzuri sana
 
Back
Top Bottom