Upo sahihi ila mikataba nayo waweke sebuleniNadhani sasa nivyema tukafanya vitu ambavyo wazungu hawataki labda itasaidia maana vitu vyote tulivyovifanya vinavyowapendeza havijatusaidia
Upo sahihi ila mikataba nayo waweke sebuleniNadhani sasa nivyema tukafanya vitu ambavyo wazungu hawataki labda itasaidia maana vitu vyote tulivyovifanya vinavyowapendeza havijatusaidia
Nakumbia watu hawasemi ukweli &%https://www.jamiiforums.com/threads...ha-mradi-wa-umeme-wa-stieglers-gorge.1443916/
Kwetu wanataka kuhifadhi wanyama kwao wamejenga majiji, hata hatujui wanyama wa asili wa kwao, kwao binadamu first, kwetu mnyama first, Magufuli songa mbele hayo mambo ya wanyama baadae.
Jamani nani mwenye historia ya huu miradi na kwa nini Nyerere aliuacha???
Naomba ufafanuzi hapa!..Bwana la umeme linatarajiwa kujengwa lina ukubwa wa taifa la Switzerland ambalo ni maarufu kwa wanyama tofauti.
Kweli tulili tabiri hiliSafari bado unaendelea.