Mradi wa Kilimo BBT umeishia wapi?

mradi unachanja mbuga

kahawa imesha kubali kidunia meku usishupaze shingo
 
Hahaha Bashe na Kafulila waasikusikie ukiuliza hayo maswali.

Watakusomea takwimu hujawahi kuziona.
 
Nilkuwa nautaman sana huo mradi niliomba nikakosa baadae nikasikia wameanza mambo ya ajabu ajabu mara uende had Jkt nk
Had ukimya ukachukua nafasi sasa sjuh bado upo au wahuni washajipigia pass ndefu urefu wa kamba ushachukua nafasi
 
Hahaha Bashe na Kafulila waasikusikie ukiuliza hayo maswali.

Watakusomea takwimu hujawahi kuziona.
Wazee wa

" 1.2 bilions shillings zilienda kwenye 3.5 hectors Sasa Ile 15% Mheshimiwa rais tumeiweka kwa wakulima Hawa na imewaongezea gross production ya 20 tons kwa kila hekari 623..."

๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Wazee wa

" 1.2 bilions shillings zilienda kwenye 3.5 hectors Sasa Ile 15% Mheshimiwa rais tumeiweka kwa wakulima Hawa na imewaongezea gross production ya 20 tons kwa kila hekari 623..."

๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Then makofiiii mengii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ