Huku ndio kufanya kwa matendo vijana wadogo ubongo mkubwa, sasa ndio naamini kwamba Mr II amepania kupambana na wababaishaji na Rushwa na uonevu na udhalimu wa nchi hii.
This is great kwa sababu jambo hili vijana msipolingoa hadi kwenye mizizi basi kizazi chenu pia kitabaki kinanyonywa kama hiki chetu, sisi wazazi wenu tumewaangusha tumeshindwa kuwalinda imebidi mkue kabla y awakati, fanyeni mna baraka zetu mungu atawaongoza. Ni sala tu magoti kwa sana wale wa swala tano salini sana ndio ukombozi pekee wa nchi yetu, tumeshafikishwa pa baya sana ni mungu tu aalikwe kwenye hili ili aendelee kuwatumia watu wake kutukomboa.
Hii timu ni balaaa wale wajikombi wanaochangia CCM kwa msg wamekwisha kwanza hawajui kutunga pili wamezoea kubebwa wanategemea Kilimanjaro awards kutoka vijana sina la zaidi na ninawaamini kwa sana nyie na dr slaa mkishikana hakika tutasonga mbele