Familia ya Bwana SAMWEL MBEZI inasikitika kifo cha BABA yao mpendwa MR SAMWELI MBEZI kilichotokea usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake...KIPUNGUN ....maziko yanasubiri watoto wa marehemu walio marekani
AINEA S MBEZI
NA
PETER S MBEZI
marehemu alikuwa akifanya kazi kampuni ya ndege ya tanzania ATCL mpaka alipostaafu hivi karibuni...miezi michache iliopita.....kama
HR OFFICER.....
we shall be missing u ""KIDUME""
Mwenyezi MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
AINEA S MBEZI
NA
PETER S MBEZI
marehemu alikuwa akifanya kazi kampuni ya ndege ya tanzania ATCL mpaka alipostaafu hivi karibuni...miezi michache iliopita.....kama
HR OFFICER.....
we shall be missing u ""KIDUME""
Mwenyezi MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi