Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Muuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama.
Mungu ailaze pema peponi roho yake.
Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia.
Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara ya Akachube iliyopo Kijitonyama.
Mungu ailaze pema peponi roho yake.