Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,672
Katika ziara mkoani Kilimanjaro rais alihaidi Computers kwa kila shule ...Kama picha inavyoeleza wadogo zetu WAMEKAA wana subiri.
![]()
Shule jijini Dar es Salaam
Hii si afadhali mkuu,kuna sehemu hapa nchini watoto wanasomea chini ya miti,na darasani wanaishi walimu kwa kugawa darasa kama hanga la jeshi/polisi.