Staa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.
Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy
Kauli hiyo...