Mr.HUSSEIN BASHE

sina imani nawe, unahitaji ubatizo wa moto na kiapo ndipo nikuamini
 
Nakukumbusha alivyopambana kagame asipelekewe standard gauge .mwafrika mkamilifu atapambana waafrika wote watoke kiuchumi in short waafrika lazima tuinuane ili tuikabiri dunia mtazamo wake ni wakuring fence mawazo ambayo hayaisaidii africa
 
Mkuu kukosoa haijawahi kuww kazi ngumu.kimbembe siku ukiwa mfanya maamuzi ndo utajuta ,
 
Mchambuzi wa uchumi ni kama wachambuzi wa soka, mpe timu aifundishe sasa .....kituko
Yes umesema yote ,utazikia mbona Fulani kaachwa ,mara mbona amewatumia viungo WAKATI waote mbwembe nyingi.sasa siku utakaapo pewa Tim ndo uta k po ona vituko
 
Ana elements za Lowasa. Hawezi pewa chochote, labda kunyang'anywa na alichonacho!
 
woiiiii ....mbona facts zake zipo open sana ziko vizuri pia nimoja ya majembe ambao wakitoa critics na ushauri anakupa ufanyeje ili undercome he is way better mimi mpinzani ila yupo vizuri
 
Anauwezo mzuri, ila ana upuuzi mkubwa.

Alionyesha upuuzi wake pale alipotamka chadema wapigwe tu kwa vile serikali ni yao hakuna atakayewatisha.
 
woiiiii ....mbona facts zake zipo open sana ziko vizuri pia nimoja ya majembe ambao wakitoa critics na ushauri anakupa ufanyeje ili undercome he is way better mimi mpinzani ila yupo vizuri
Facts zake zipo mixed sana, haziakisi point zake. Mfano sikiliza hotuba hii ambayo alitumia sana statistics.
 
Ni mtetezi wa wanyonge.Akiteuliwa uwaziri atafungwa mdomo.

Ni kama Kabudi alivyotupilia mbali hoja ya katiba mpya baada ya kulamba uwaziri.
 
Dalali huyo wa wasomali wenzie kwenye kupata vibari vya kuingiza sukari nchini watu wa pwani tunasema afai hata kwa kulumagia...
hizi chuki za kiswahili tabu sana huyu ni mtanzania hujaona majuzi dada yake kaukwaa kuleUSA
 
hizi chuki za kiswahili tabu sana huyu ni mtanzania hujaona majuzi dada yake kaukwaa kuleUSA
Sio mtanzania huyo msomali labda ww usie mjua mwenyewe anajinasibu kwa usomali wake mtanzania Rage maana ajinasibu nao usomali wake
 
Rostam Aziz changaya na Lowassa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…