Mr.HUSSEIN BASHE


Ana ' Uvuguvugu ' na ' Unafiki ' mwingi. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Mkuu umetuhama au ninakosea mkuu ????
 
waswahili wanasema "ukitaka kujua utam wa ngoma uingie ucheze"...km ulishawahi kucheza draft au mpira...utagundua kua ukiwa nje ya game unaona mambo mengi sana ila ukiwa ndani mambo ni tofauti...hawa wazungumzaji wazuri wakina Bashe,Zitto n the likes ukiwapa nafasi ktk uogozi utashangaa matokeo yao...
 
Kuchambua,kuongea na urais ni kitu kingine,hata Polepole alikuwa ni mchambuzi mzuri sana wa katiba aliyekuwa pamoja na wananchi baada ya kupata kawaacha wananchi utafikri siyo Polepole yule wa katiba mpya.
Mkuu nashukuru sana yaani ulivyonikumbusha huyo jamaaa polepole,naona thamani ya hii post haipo tena ,ni kweli uchambuzi sio kigezo,ila tumchambue zaidi back side yake kuacha hotuba za uchangiaje wake bungeni!
 
point number mbili nimeipenda
 
Hata mawaziri. Wengi wao kwa kweli mungu atusamehe.
Ukichunguza kwa umakini, pale mjengoni asilimia 75% ni usanii.
Brazaa hapo utashtakiwa kwa takwimu fake haaaa 75%usanii
Unamzungumziaje aliyewateua mpka aibu haaa
 
Hakuna mtanzania kamili mpaka tutawaliwe na msomali? Angalia kenya inavyoteseka na alshabab kuwa tofautisha na walotoka Somalia ni shida
 
unaambiwa watu wenye vipara uelewa wao ni mdogo sana
 
Kuna harufu ya ukweli umemwaga hapa Braza, kweli naamini "an empty stomach is the bad advisor"
 
mapinduzi yataletwa na mawazo kama ya Bashe na sio wazee wa kwenye mdahalo , maana tafiti zinaonesha ukishakua mzee akili zinapungua sana kama mlivoona wale wazee akili zao zilishapungua wanatembelea initial za elimu zao
 
unaambiwa watu wenye vipara uelewa wao ni mdogo sana
Brazaa unautani na mtu nn ,kwani kuna vipara vya aina nyingi, ila kuna kipara si vyema tukakizumzia hapa kwa ustawi wa kesho yetu nadhan umenielewa mkuu
 
Brazaa hapo utashtakiwa kwa takwimu fake haaaa 75%usanii
Unamzungumziaje aliyewateua mpka aibu haaa
Ana waziri mkuu mzuri, Foreign affairs, Treasury na Local governments kote mawaziri wake naona ni watu smart sana na wanachapa kazi.
Hizo wizara nyingine ni basi tu, itabidi a-recruit vijana kwenye inner circle yake waje kupiga kazi. Siyo vijana kama wa wizara ya utamaduni. No! Vijana atakaoweza kuwapa ubunge hata kimabavu ili wamsaidie kuijenga hii nchi.
Zaidi ya hapo, atakuwa na wakati mgumu kwa kweli. Yaani ni yeye anaeamua kila kitu mpaka unashangaa sometimes.
 
Nadhani wewe ndo umeshindwa kusoma alama za nyakati.
 
mapinduzi yataletwa na mawazo kama ya Bashe na sio wazee wa kwenye mdahalo , maana tafiti zinaonesha ukishakua mzee akili zinapungua sana kama mlivoona wale wazee akili zao zilishapungua wanatembelea initial za elimu zao
Well ,well, tupate mawazo mbadala ya watu lakin wanaosoma na kufanya tafiti zenye mantiki kwa ustawi wa nchi yetu.
 
Jamaa anajua anachokifanya sio hao wengine wafuata upepo
 

Hili ndilo tatizo la watu wanaojiona wao wanachokijua ndio sahihi na mawazo ya wengine sio
Kwa vile umezungumzia facts, wewe ndio ulitakiwa utoe mfano wa hizo unazoziona kuwa ni uongo na unafiki. Badala yake unasukumiza uletewe ndio uchambue!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…