Source??????
sio kwamba sina uhakika, huyu jamaa kafia Arusha maeneo ya Usa, hapa nilipo naishi karibu kabisa na shangazi ake, maeneo ya kimandolu, na chalii aliekuwa ana muuguza ni chalii etu, ambae ni binamu yake. Kwaio nna uhakika na hii habari.Acha kuzushia watu kifo mkuu.
kama huna uhakika kwa nini ulete habari hii hapa???
Du,mgonjwa kwa muda?nitakukumbuka Ebbo,mi mmasai bwana nasema mi mmasaiAlikuwa mgonjwa kwa mda kidogo . Rip broda.
basi nae kaamua kumkimbia mazima milele....Flora Mbasha Tuonane Paradiso - YouTube
Maskini alikimbiwa na mke wake enzi zile, pole sana, tutaonana Paradiso