Tofalizito
JF-Expert Member
- Mar 28, 2020
- 343
- 1,450
Tukiachilia mbali mafanikio mwanamuziki pekee hasa katika hiphop ambae hajawai kuchuja ni Mr Blue. Huyu jamaa ni noma anajua anachofanya na ukijaribu kumshirikisha kakufunika mfano ule mwimbo aloshirikishwa na Jux aliwafunika vibaya.
Hongera bayser
Hongera bayser