Si tunaonglea mzik wake mkuu,hayo mambo ya sura waachie akina mama wa CCM waliomchugua Kikwete kisa HB..
Na kama unataka ujadil sura kaanzshe special thread ya HEMEDY PHD au MO RACKA..
Unajuwa ww kama binadamu lazima ujifunze kutokana na makosa kuna kipindi ndugu yetu alikuwa akipiga kile kitu cha Arusha na kuvuta maunga alikuwa anajistarehesha lakin baadae ukaja ukawa unamuharibu haikuwa shida mashabiki wake tuka mweka kitako tukamwambia huko unako kwenda dogo siko achana na upuuzi huo unaoufanya nampongeza saana kwa kusikiliza ushaur wa mashabiki wake akaachana na vile vitu sasa hivi amekuwa ni best rapper
Acha uwongo blue hadi kesho bangi kama kawa ...!
Njoo bonde la mchicha .
Huyo Mo rocka kuna siku nilikutana nae mitaa ya sinza,
Mimi nilikua na mishe mishe zangu natafuta bodaboda ili niwahi mara naona jamaa anapita na bodaboda yenye namba nyeupe huku amevaa vesti, mimi sikumjua nikamsimamisha kwa makelele kabisa, badabodaaa! Kajamaa kakageuka kakaniangalia kwa dharau kisha kakaondoka.
My take: mastaa jaribuni kujiweka katika muonekano walau wa tofauti kidogo.
Kwani Mo racka ana ustar gani bongo hapa
Blue alikuwa zamani miaka ya 2004 mpaka 2008,hapo alikuwa Super Handsome madada walimshobokea sana ila sasa ile sura ya u-HB yote imeondoka kabakia wakawaida tu sura ya kiume,ila ana mtoto wa kiume shombe shome.
Huyu jamaa mwaka 2008 niliusikiaga wimbo wake flani hivi kipande...mistari inaenda " hata nisipo zima dar nitazima kenya...ebana nimeutafuta mpaka nimechoka aiseee
Usisahau kutuitia akina Warumi,nifah na mama facebook wambiye tunawasubir huku waje wamuone babylon beezy