MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
Oya , Nasemaje?
Huyu mwamba, kama CHADEMA wakijichanganya wakasema wampitishe kuwa mgombea wa Urais 2025 kupitia ticket ya chama hicho, ..I am telling you...this guy will win the election mchana kweupe.
Cause , masela wote, Wana, wahuni , mabaharia na kwa ujumla watu wote wa Nchi hii watatoka pande zote za kitaa, vijiweni, maskani , magetoni na kwenda kumpigia kura!
Na huyu jamaa akiwa Rais..I am telling you,..Hii Nchi itakua sio tu kuwa na Mafanikio lakini pia itakua na maendeleo ya kutosha.
Nasemaje...sikia hii....Jamaa ataupata Urais kimasihara sana na wala CCM hawata amini hata kidogo...watabaki wamepigwa na butwaa.
#ThePowerOfYouthMentality
Huyu mwamba, kama CHADEMA wakijichanganya wakasema wampitishe kuwa mgombea wa Urais 2025 kupitia ticket ya chama hicho, ..I am telling you...this guy will win the election mchana kweupe.
Cause , masela wote, Wana, wahuni , mabaharia na kwa ujumla watu wote wa Nchi hii watatoka pande zote za kitaa, vijiweni, maskani , magetoni na kwenda kumpigia kura!
Na huyu jamaa akiwa Rais..I am telling you,..Hii Nchi itakua sio tu kuwa na Mafanikio lakini pia itakua na maendeleo ya kutosha.
Nasemaje...sikia hii....Jamaa ataupata Urais kimasihara sana na wala CCM hawata amini hata kidogo...watabaki wamepigwa na butwaa.
#ThePowerOfYouthMentality