Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
tafadhali fafanua kwa kiswahili kwanza unamaana gani hapo...!
Nafikiri alimaanisha 'without reasonable doubt' si unajua tena this is not our mother tongue. Unajua kila kesi na merits zake. Hapa hatujui Liyumba aliplay role gani kwenye ujenzi huu. Tunajuaje inawezekana ma-QS, consultants etc walimpa ushauri alikataa. Mnakumbuka issue ya richmond, TANESCO lawama ziliwakwepa kwa kuwa wao walitoa ushauri uliokataliwa? Kwa nini kutokueleweka kwa kesi hii kunatazamwa tu kwa jicho la 'hapa kuna mkono wa mtu?' Pia sijaona connection ya Shaidi kuwa Jaji akitokea kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka na kesi ya Liyumba. Walikuwa na ugomvi naye? Kama sivyo then connection ni ipi?