chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,333
- Thread starter
- #21
Ustadh GIRITA kweli leo tuliswali pamoja Msikiti wa Kwamsusa Mbagala Rangi Tatu(mimi mgeni) kwangu mimi ni mara ya kwanza ya kuona tukio kama lile ila biashara naziona tu za kofia, kanzu, tende' madawa hata Sharbeti ya KHASUS ila Ubwawa! tena naona kuwaharibia mamantilie biashara yao, ni batili kabisaWewe utakuwa ni mgeni wa kuswalia misikitini, hasa misikiti ya Dar,watu wanafanya biashara zao kama kawaida na hakuna shida,kufanya biashara ndani ya msikiti ndio vibaya....japo kuwa wale masheikh wauza madawa huwa wanazitangaza dawa zao pale mimbari kwa imamu halafu pesa wanaenda kupokelea nje...utakuwa umesalia msikiti wa kwa msusa mbagala rangi tatu kuna jamaa huwa anauza pilau la take away kwa buku anakupa na kijiko cha plastiki au nasema uongo ndugu yangu?Tuliza jazba sheikh hiyo ni kawaida jamaa huwa anauwa soko la mama lishe wanaouza pilau buku jero...mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka msikiini napitia kabox kangu naenda kupoza njaa,tuvumiliane mkuu.