balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,459
- 12,584
Hivi huyu kijana ni mzima kweli!
Kweli ukichokoza waalimu watakuchiba mpaka wakujue wote.....mbona yeye kasema alisoma LLB, tena alikua anafanya nini kwenye chuo cha ualimu.Hivi huyu kijana ni mzima kweli!View attachment 2575297
AahahahahHivi huyu kijana ni mzima kweli!View attachment 2575297
Lusungo kasema ni mwalimu TGTS C1 na soon atamwanika humuKweli ukichokoza waalimu watakuchiba mpaka wakujue wote.....mbona yeye kasema alisoma LLB, tena alikua anafanya nini kwenye chuo cha ualimu.
Kama yeye anavyowaandama walimu aabao hawjamkosea chochocteMjinga huyu JF ataiona chungu
Halafu anawadharau walimuIla elimu yetu ni ya kisenge sana, yaani mpaka mtu anamaliza diploma hajui hata kuandika neno competition
AahahahaKuna siku nilimpekua nikaleta ushahidi hapa kuwa ni mwalimu moderators wakaufuta uzi chap chap.
Ndio unamuona leo?Hivi huyu kijana ni mzima kweli!View attachment 2575297
AhhhaaaAhahahahahahahhhhhhahhahahahahahahahahahahahahah.
KUMBEEEE???