maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,536
- 1,360
Nimekumbuka sana jamaa alipokua anamuigizia prof lipumba mara baada ya uchaguzi wa igunga ........... " ukisoma kitabu cha pamela na kipini, ukasoma kitabu cha mzee tola anakula gizani, ukasoma hadithi za fikiri na uledi, bila kusahau kitabu cha mua uliozamisha meli, ukasoma tena kitabu cha hawafu shujaa,.. Utagundua kua tanzania hakuna demokrasia" ...... DAH! nimecheka sana, huyu jamaa hua hatumii akili kuongea!!