Mpo?

Mpo?

Tupo mkuu sema tumefungiwa aisee naona mda huu ndio net inarudi lakini speed hakuna walahi
 
Kimenuka sana naskia arusha huko na mwanza ndio hatari
Yeah man ni kunomaa,
Mshikaj wangu jana alikuwa anasimamia kura, ile wanebeba mabox si wakakutana na waandamanaji enhe wakawaambiwa mnataka kufa?, kama Mungu gar la jesh likaja likawabeba na kuwapeleka kambini, haha jamaa ananiambia aliona kifo live.
 
Meseji haziendi net wameachia hawa jamaa wakuda sana
 
Back
Top Bottom