Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,565
- 1,516
Sheria za huu mpira zipo zaidi ya 17, nitataja chache nawe ongezea
1. Wenye Mpira sharti acheze hata kama hajui kucheza
2. Mwenye mpira, akiitwa ama akiondoka inakua mwisho mpira/mechi
3. Mwenye mpira ndie anae amua mapigo yote ikiwemo penalty , kona free kick etc
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Wenye Mpira sharti acheze hata kama hajui kucheza
2. Mwenye mpira, akiitwa ama akiondoka inakua mwisho mpira/mechi
3. Mwenye mpira ndie anae amua mapigo yote ikiwemo penalty , kona free kick etc
Sent using Jamii Forums mobile app